Wanawake wa aina hii watakuchelewesha kimaisha bro amka

Wanawake wa aina hii watakuchelewesha kimaisha bro amka

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Ukweli ni mchungu lakini ni muhimu kusemwa.

Wanaume wengi tunapoteza muda, pesa, amani na hata ndoto zenu kwa sababu ya kupenda chini & kuchagua mtu asiye sahihi. Kuna wanawake ambao ukijichanyanya nao, badala ya kusonga mbele, maisha yako yanakuwa kama gari lililokwama kwenye tope—hatua moja mbele, afu unarudi mbili nyuma.

Mwanaume mwenye malengo unatakiwa kuwaepuka hawa:

1. Mwanamke Mzuri Bila Akili

2. Mwanamke Anayependa Maisha Laini (Soft life)

3. Mwanamke Asiyekubali Uwe Mbali Nae

4. Mwanamke Anayetawala Wanaume

5. Mwanamke Anayelenga Kipato Chako

6. Mwanamke Aliyekufa Kiroho

7. Mwanamke Anayejivunia Muonekano Wake(Nyashi)

8. Mwanamke Mwenye Sumu ya haki sawa

Kaka, usibebe mzigo ambao maisha yako hayawezi kuubeba.
 
Ukweli ni mchungu lakini ni muhimu kusemwa.

Wanaume wengi tunapoteza muda, pesa, amani na hata ndoto zenu kwa sababu ya kupenda chini & kuchagua mtu asiye sahihi. Kuna wanawake ambao ukijichanyanya nao, badala ya kusonga mbele, maisha yako yanakuwa kama gari lililokwama kwenye tope—hatua moja mbele, afu unarudi mbili nyuma.

Mwanaume mwenye malengo unatakiwa kuwaepuka hawa:

1. Mwanamke Mzuri Bila Akili

2. Mwanamke Anayependa Maisha Laini (Soft life)

3. Mwanamke Asiyekubali Uwe Mbali Nae

4. Mwanamke Anayetawala Wanaume

5. Mwanamke Anayelenga Kipato Chako

6. Mwanamke Aliyekufa Kiroho

7. Mwanamke Anayejivunia Muonekano Wake(Nyashi)

8. Mwanamke Mwenye Sumu ya haki sawa

Kaka, usibebe mzigo ambao maisha yako hayawezi kuubeba.
Kataa mahusiano takataka
 
Ukweli ni mchungu lakini ni muhimu kusemwa.

Wanaume wengi tunapoteza muda, pesa, amani na hata ndoto zenu kwa sababu ya kupenda chini & kuchagua mtu asiye sahihi. Kuna wanawake ambao ukijichanyanya nao, badala ya kusonga mbele, maisha yako yanakuwa kama gari lililokwama kwenye tope—hatua moja mbele, afu unarudi mbili nyuma.

Mwanaume mwenye malengo unatakiwa kuwaepuka hawa:

1. Mwanamke Mzuri Bila Akili

2. Mwanamke Anayependa Maisha Laini (Soft life)

3. Mwanamke Asiyekubali Uwe Mbali Nae

4. Mwanamke Anayetawala Wanaume

5. Mwanamke Anayelenga Kipato Chako

6. Mwanamke Aliyekufa Kiroho

7. Mwanamke Anayejivunia Muonekano Wake(Nyashi)

8. Mwanamke Mwenye Sumu ya haki sawa

Kaka, usibebe mzigo ambao maisha yako hayawezi kuubeba.
Limekukuta nini
 
Hapo 1 - 7 unao uwezo wa kudeal nao freshi mkala sahani moja ila hao namba 8 kimbiaa
 
Ukweli ni mchungu lakini ni muhimu kusemwa.

Wanaume wengi tunapoteza muda, pesa, amani na hata ndoto zenu kwa sababu ya kupenda chini & kuchagua mtu asiye sahihi. Kuna wanawake ambao ukijichanyanya nao, badala ya kusonga mbele, maisha yako yanakuwa kama gari lililokwama kwenye tope—hatua moja mbele, afu unarudi mbili nyuma.

Mwanaume mwenye malengo unatakiwa kuwaepuka hawa:

1. Mwanamke Mzuri Bila Akili

2. Mwanamke Anayependa Maisha Laini (Soft life)

3. Mwanamke Asiyekubali Uwe Mbali Nae

4. Mwanamke Anayetawala Wanaume

5. Mwanamke Anayelenga Kipato Chako

6. Mwanamke Aliyekufa Kiroho

7. Mwanamke Anayejivunia Muonekano Wake(Nyashi)

8. Mwanamke Mwenye Sumu ya haki sawa

Kaka, usibebe mzigo ambao maisha yako hayawezi kuubeba.
Nakuunga mkono mdogo wangu umesema kweli sisi kaka zako tunajionea sasa kwa vitendo.
 
Back
Top Bottom