Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,588
- 7,965
Safi sana hii
Ilikuwa bahati yake nae mkeo bwana lol I doesn't work with everyone aisee siwezi kabisa wacha nibaki na maumivu yangu
Hahahaa haya tutajaribu mkuuUyasemayo ni kweli kabisa, ilikuwa ni bahati yake hata na yangu pia. Ila hata wewe kama kuna mwanamme unamfeel, tafadhali usihofu kujitoa mhanga, muwinde tu ila usiwe na rafiki yako kwani anaweza kukusaliti kwa kutotaka wewe upate kabla yake. Mwanamme LAZIMA atakukubalia tu, na hata kama ana mahusiano na mwanamke mwingine atakuambia. You people (wanawake) mnatuhisi vibaya tu, si kila mwanamme ni mbongo fleva (hajitambui), tuko poa sana.
Aisee. Sijui mie mgonjwa sijawahi fikia hiyo hatua ya kumtamani mwanaume hadi niwaze kumtongoza.
Mnataka kuja kumkashifu mwanamke sio bure. Nyie ndio mtuanze bana na sio sisi hata hainogi kwa sababu mwisho wa siku unaweza taka hadi nikupe hela ya matumizi kisa tu nimekutongoza.
Akaaaaaa.
Kwa kuongezea tu, niliwahi kumuuliza mke wangu kwa nini alikuwa hapendi kunisalimu wakati nilikuwa ninamuheshimu na kumsalimu kama wanawake wengine, akanishangaza kwa kusema eti alikuwa anaogopa nitamchunia na kama angenitongoza mimi ningemuona yeye kuwa malaya na alishazoea mchezo wa kutongoza wanaume. Akanishangaza zaidi kwa kuniambia kuwa aliwakataa wanaume wawili kwani alihisi iko siku nitamuoa au kutoka naye na alishamuomba Mungu niende kumtongoza, kwa kweli niliumia sana alivyoniambia hivi. Samahani ila ilinibidi nilie kidogo lakini si mbele yake, nililenda chooni. Nilimuhurumia sana mke wangu kwa kuwa jasiri wa kukaa na maumivu ya kunipenda wakati mwenzake sikuwa na hili wala lile juu yake, wanawake jamani msijiumize mioyo, jitokezeni kutongoza wanaume. Kuna wanaume wengine hawajuwi kutongoza kwani kutongoza si kila mtu anajuwa.
Aisee. Sijui mie mgonjwa sijawahi fikia hiyo hatua ya kumtamani mwanaume hadi niwaze kumtongoza.
Mnataka kuja kumkashifu mwanamke sio bure. Nyie ndio mtuanze bana na sio sisi hata hainogi kwa sababu mwisho wa siku unaweza taka hadi nikupe hela ya matumizi kisa tu nimekutongoza.
Akaaaaaa.
Uncle wako mamii.Huyo ni nani auntie
Hebu Mwambie mie ni nani kwanzaUncle wako mamii.
Sasa si nakupenda mpaka najisikia kukutongoza tena!!unamtongoza mumeo
haya nitongoze
Hahahaaaa!! Auntie nawe kwa majanga haujambo, ilikuwaje kwani?Ni kweli mwaya, ananikomalia kabisa kwa nini unatumia picha ya mwanamke... Khaaa
Yaani acha tu auntie... Tulikutana kwenye uzi, mwenyewe kaniquote eti kwa nini natumia avatar ya kike wakati mie dumeHahahaaaa!! Auntie nawe kwa majanga haujambo, ilikuwaje kwani?
Hahahaaaaa!! Auntie labda mnajuana, hebu sema vizuri.Yaani acha tu auntie... Tulikutana kwenye uzi, mwenyewe kaniquote eti kwa nini natumia avatar ya kike wakati mie dume
Akii simjui auntie.. Mie nilishangaa mnoooHahahaaaaa!! Auntie labda mnajuana, hebu sema vizuri.
kwani hunipendiiiiiiii?πππKuna siku nilikwambia nakupenda?
Nakupenda sana hebu thibitisha muamala nizidi kukupendak
kwani hunipendiiiiiiii?πππ