Wanawake: Ukimpenda mwanaume mtongoze

Wanawake: Ukimpenda mwanaume mtongoze

Mimi nikimpenda mtu aisee hawezi hata kujua ninavyojitia ukauzu mbele yake
I know your type.kuna mtu alikua ananichukia hatari yaani,ananionyesha dharau za kitoto wazi wazi mbele za watu
Basi siku naingia dukani kumbe dukani kwao...nikapata mahitaji na kumtania kidogo.....weeeee..hakuwahi kurudi nyuma kamwe toka hapo!
Kabaki tu kusema ''ila baba Etha nilikuaga nakupendaaaaaa hadi nakuchukia.ulikua unaringa sana!"
 
Japo in reality mkuu wengi wa wanaume hujiona wamewinda kumbe wao ndo wamewindwa kwanza!
yaani that moment unafanya first move kumbe binti alishaku seti kitambo ili ufanye hivyo...unajiona umewiiiinda kumbe we ndo umenasa kambani.
 
I know your type.kuna mtu alikua ananichukia hatari yaani,ananionyesha dharau za kitoto wazi wazi mbele za watu
Basi siku naingia dukani kumbe dukani kwao...nikapata mahitaji na kumtania kidogo.....weeeee..hakuwahi kurudi kamwe toka hapo!
Kabaki tu kusema ''ila baba Etha nilikuaga nakupendaaaaaa hadi nakuchukia.ulikua unaringa sana!"
ila mimi huwa sionyeshi kumchukia basi tu najifanya sina habari nae na hata nikimuona namsalimia kawaida tu yaani hawezi kujua kabisa. Ila huyo wa kwako alizidi
 
ila mimi huwa sionyeshi kumchukia basi tu najifanya sina habari nae na hata nikimuona namsalimia kawaida tu yaani hawezi kujua kabisa. Ila huyo wa kwako alizidi
we.....yaani anaweza nitazama jicho hilooo.sasa najiuliza huyu binti hata sina mazoea nae inakuaje ananifanyia hivi!?
halafu maskini siku hiyo dukan kwao natoa pesa hivi nilikua na vi dola kwa bahati mbaya nikavitoa kwenye koti badala ya shilingi niliopanga kuto weeee.....eti nimeenda kmringishia..nilikoma!
Ila mwisho wa siku nikasema huyu lazima 'adabu' imuingie...katuliaaa saivi
 
Kutongoza ni art and science walizopewa madume tuu. Sema ninyi vivulana vya facebook na instagram ni madomo zege hadi wanawake wanawashangaa
 
we.....yaani anaweza nitazama jicho hilooo.sasa najiuliza huyu binti hata sina mazoea nae inakuaje ananifanyia hivi!?
halafu maskini siku hiyo dukan kwao natoa pesa hivi nilikua na vi dola kwa bahati mbaya nikavitoa kwenye koti badala ya shilingi niliopanga kuto weeee.....eti nimeenda kmringishia..nilikoma!
Ila mwisho wa siku nikasema huyu lazima 'adabu' imuingie...katuliaaa saivi
jamani jamani kama nakuona ulivyokuwa unabaki umeduwaa pole sana sasa ulianzaje kumuingia?
 
Mbona me mpenzi wangu alinitongoza tena kupitia cm baada ya kunihoji kama nina mpenz au mke nikamwambia sina then kafunguka anaomba niwe mpenz wake me nikasema "Ok"
Nikampa appointment na kwenda kupima HIV. Mpaka Leo nikonae tena nampenda sana na wife wangu mda si mrefu.
 
Mbona me mpenzi wangu alinitongoza tena kupitia cm baada ya kunihoji kama nina mpenz au mke nikamwambia sina then kafunguka anaomba niwe mpenz wake me nikasema "Ok"
Nikampa appointment na kwenda kupima HIV. Mpaka Leo nikonae tena nampenda sana na wife wangu mda si mrefu.
Nampongeza kwa ujasiri huo
 
Hilo linawashinda hadi wanaume ujue!! Lakinii sio huofia kuonekana mhuni fulani hivi, sijui kwa nini jamii imejiaminisha hivyo!!
Mi siku zote huwa nawaambia wanawake uhuni haujifichi. Ni sawa unamtongoza mwanamke anajifanya kuanza kukataa au kukuzungusha. Hilo haliwezi niaminisha we si mhuni bali mwenendo wako tutakapokuwa kwenye mahusiano. Vivyo hivyo mwanamke kumwambia mwanaume unampenda siyo kwamba utaonekana muhuni ila mpaka pale utakapokuja kuta una mpenzi mwingine wakati muko wote. Kwahiyo uhuni unaonekana haujifichi hata kama ulijifanya mgumu na ukakubali baada ya mwaka 1.
 
Aisee. Sijui mie mgonjwa sijawahi fikia hiyo hatua ya kumtamani mwanaume hadi niwaze kumtongoza.

Mnataka kuja kumkashifu mwanamke sio bure. Nyie ndio mtuanze bana na sio sisi hata hainogi kwa sababu mwisho wa siku unaweza taka hadi nikupe hela ya matumizi kisa tu nimekutongoza.

Akaaaaaa.
Sasa hao Mr. Perfect mnawapataje. Ni kawaida kusikia msichana anasema sijapata chaguo langu wakati mnasema hamuwezi kutongoza. Mi hapa naona wanaume ndo huwa tunapenda ninyi huwa mnafuata tu.
 
Kweli kabisa pia ni ile hali ya kutaka kumfanya mwanamke awe mnyonge kwa sababu hata kakitokea ka ugomvi atakuwa na sababu kibao zikiwemo we si ndio ulinitongoza kwani nilikuwa nakutaka mie na nyingine nyingi.
Kwani taabu iko wapi. Mbona hata sisi wanaume hayo maneno huwa tunaambiwa!
 
Mkuu unajitoa tu ufahamu then unazama kichwa kichwa !!!!
Ukipenda we tongoza tu usisubili mpaka utongozwe.
Mkuu mimi siwezi bwana nawaachia wenye vipaji vyao. Shida nyingine mwanamke ukitongoza mwanaume asikupende wala hata hakatai...atajifanya anakupenda mradi ale tu mzigo atokomee. Na kama akikukataa basi kila mtu kwenye network yenu atajua kwamba ulitongozwa umekataliwa
 
Unapenda kutongozwa na wanawake inaelekea!!! Sioti kuja mtongoza me km una kizuri cha kusifiwa ntakusifia lkn haimaanishi kwamba ndo umetakwa kimapenzi


eti jaman yaan nakutongoza nikiwa kwenye state gan heheh !afu hawa wanajichetua tu hv kuna dhambi kumwambia fulan una macho mazuri au una kifua kizuri? khaa !huyu naye anajipa promo tu hapa !
mie mwenyewe namsifiaga sana mtu humu ila simtongozi !
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu mimi siwezi bwana nawaachia wenye vipaji vyao. Shida nyingine mwanamke ukitongoza mwanaume asikupende wala hata hakatai...atajifanya anakupenda mradi ale tu mzigo atokomee. Na kama akikukataa basi kila mtu kwenye network yenu atajua kwamba ulitongozwa umekataliwa
Duh! Ila kweli wanaume tunatofautiana tabia na mtazamo lakini kwa sisi tulio starabika naona kawaida tu Kwa kuwa hata ww ni binadamu unapenda.
Au unatumia style ya kumtega hadi ajiongeze mwenyewe.
 
Back
Top Bottom