Wanawake: Ukimpenda mwanaume mtongoze

Wanawake: Ukimpenda mwanaume mtongoze

KUNA SIKU NILIAGIZWA NA MDINGI KUPELEKA KITABU NYUMBA YA MBALI KIDOGO. BAS NIKAMKUTA BINTI MNONO AKAWA ANAJICHEKESHA CHEKESHA, AKANIKARIBISHA SEBULENI, ALIKUWEPO YEY NA MDOGO WAKE, WAZAZ WAKE WALIKUWA HAWAJARUDI KAZN

BS KILA MARA ANANITIZAMA, IKANIBID NIMKONYEZE AKAWA ANAJICHEKEACHEKEA TU, AH.. NIKAJUA HUYU MPWEKE. NKAMWACHIA NAMBA, ILE NATOKA NJE YA GETI TU KANITEXT KARIBU TENA.

FRM THERE CHATS ZKAPAMBA MOTO, NIKAMTONGOZA HAKUNISUMBUA, KESHO YAKE AKANIPA MAMBO. KUANZIA HAPO NIKAWA NAJITAFUNIA TU.

KUMSUBIRI MWANAMKE AKUTONGOZE NI SAWA NA KUSUBIRI EMBE CHN YA MNAZI.
Aisee...
 
Hahahah kweli vyuma vimekaza yaan wanaume nanyi mnataka tuwatongoze? bado tu kusema tuwahudumie.
 
ebwana jamaa hyo 'Movie' yako na mkeo jinsi mlivyoakutana na kujuana mpaka mlipofikia nimeipenda mno.
mnastahili pongezi.
Mungu azid ijaalia familia yenu furaha na amani


Doswe Dossena we acha tu, kuna mapenzi ya kweli dunia hii asikudanganye mtu.....ila bahati mbaya tu kuna wengine wanajiingiza kwenye mapenzi yasiyoendana na ndiyo maana mara nyingi utaona wanashindwa hata kuongozana kwa kuoneana haibu kuwa watachekwa. Mume hana muda na mkewe na mkewe kuona mume ni mzigo. Tuache utani, kuna mengi mema mke wangu ananifanyia na ndiyo maana hata wazo la kutoka nje ya ndoa naona ni dhambi, haswa nikikumbuka jinsi alivyo tayari kufa juu yangu, yaani inatisha. Kweli penzi ndiyo uchawi wa kipekee dunia hii ya Mungu, hakuna zaidi yake..... mshana jr nadanganya hapa?
 
Wengi mkitongozwa mnaringa na kuanza kusema sisi Malaya akati ni hisia
 
Nimeipenda hii uliweza kusoma alama za mrembo kukuzimia kila alipokuona.

Mie mke wangu alikuwa na haibu sana kwangu....yaani ni mwanamke mzuri na alikuwa mcheshi sana kwa wengine ila kila aliponiona sehemu ghafla alikuwa anaishiwa nguvu na kubaki kunitizama tu hata kunisalimu alikuwa anashindwa. Siku ya siku tukakutana hana kwa hana, nikamshika mkono na kumsalimu akabaki anatetemeka na kuangalia chini. Nikamwambia najuwa unanipenda nami nakupenda, ghafla akageuka na kunikumbatia. Toka siku ile mpaka leo ni miaka 13, tuko na watoto 3 na tabasamu alituishi kila tukikumbuka.
 
It seems psychology has to be introduced into our schools curricula.

Hapa ni kama tunataka kulazimisha maji yapite ambako siyo mkondo wake!

Haiwezekani, so men has to fulfil their duty as usual. Signal ni attracting factors kwa mwanaume kuchukua hatua.

This is common in African cultural societies, unlike abroad ambako girls wapo conscious japo hata kwa vitendo ku expose direct feelings na hata ku seduce kabisa!
 
Back
Top Bottom