Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,096
- 122,458
Kweli kabisa ndugu. Haya yanawafaa nyie tu mkuu sisi tubaki kukubali au kukataa hiyo ndio kazi yetu.Yaani mwanamke wa kujitongozesha siku zote hutumika kama chombo cha starehe
Maana muda wote ataishi kwa kuheshimu na kutii hata yasiyo ya kutii na utakuwa upendo wa upande mmoja
