Wanawake: Ukimpenda mwanaume mtongoze

Wanawake: Ukimpenda mwanaume mtongoze

Nakupenda sana hebu thibitisha muamala nizidi kukupenda
Sawa....hata mimi nikiwa sina kitu hata sikupendi wala sikumbuki kma upo...ila zinapokuwepo mfukoni ndo huwa nakuwaza sana sana Aiseeee mpaka natamani ungekuwa karibu...
 
Sawa....hata mimi nikiwa sina kitu hata sikupendi wala sikumbuki kma upo...ila zinapokuwepo mfukoni ndo huwa nakuwaza sana sana Aiseeee mpaka natamani ungekuwa karibu...
Haya fanya mambo basi
 
Jamii inataka ME ndiye azoze, akizoza KE basi huwa hivyo huyu anaparamia kila anayemuona kumbe wala hana tabia hizo au ni mara yake ya kwanza.

Hilo linawashinda hadi wanaume ujue!! Lakinii sio huofia kuonekana mhuni fulani hivi, sijui kwa nini jamii imejiaminisha hivyo!!
 
Wanawake WA bongo kuweni kama wahindi WA kike akimpnda mwanaume anamwambia na ni kawaida kwa mila za kwao
 
jamani jamani kama nakuona ulivyokuwa unabaki umeduwaa pole sana sasa ulianzaje kumuingia?
Sikumtokea kama kawaida halafu....just the usual 'there's this new eatery place itakua poa tukienda nikajaribu vyakula vya kabila lenu maana sio kwa stori hizo ninazosikia'....n she was like ''Kabila letu unalijua wewe....besides vi-eatery vya kizungu huwez pata mambo ya kwetu''.
Me:''ooh basi mi nakulaga hata ice cream za kuchemsha,ila tu nikiwa na mschana mrembo mrembo hiv ndio zinakua tamu so lini twaenda!?''
Then i saw her beautiful smile,safari moja ikaanzisha ingine. nikaanza tu kumtania how on earth she could bed 'a monster' anaemchukia na kumuogopa kama mimi!?
She was young n naive.....and sooo sexy!
 
Sikumtokea kama kawaida halafu....just the usual 'there's this new eatery place itakua poa tukienda nikajaribu vyakula vya kabila lenu maana sio kwa stori hizo ninazosikia'....n she was like ''Kabila letu unalijua wewe....besides vi-eatery vya kizungu huwez pata mambo ya kwetu''.
Me:''ooh basi mi nakulaga hata ice cream za kuchemsha,ila tu nikiwa na mschana mrembo mrembo hiv ndio zinakua tamu so lini twaenda!?''
Then i saw her beautiful smile,safari moja ikaanzisha ingine. nikaanza tu kumtania how on earth she could bed 'a monster' anaemchukia na kumuogopa kama mimi!?
She was young n naive.....and sooo sexy!
Hahahaa umetisha sana
 
Tatizo ikitokea mwanaume katongozwa na mwanamke hawez kataa mana ataona kapata pa kujipigia bure,huku in reality hajatongozeka bado.
 
Ni mara chache sana mwanamke akimtongoza mwanaume kwa mahusiano hayo kudumu...na wanaume ni mara chache sana kumkatalia binti akimtongoza.
 
Hakuna cha kuogopa kuonekana muhuni, tatizo wanaogopa watakosa nafasi ya kupiga vizinga,,
 
Back
Top Bottom