Kuna kitu kimoja kinantatiza sana wanawake wengi kama si wote wakifika stage wakawa na conflict na mpenzi wake wana revenge kwa kutembea na mtu/ watu wengine na mara nyingi kipindi hicho ndo wanagongwa vibaya alaf badae wanajilaumu bada ya kuhesabu idadi. Munaweza kukubaliana na mimi au kukata lakini nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua hili swala ndo mana hata mkiwa na ungovi mwanamke atakimbilia kusema au unadhani mimi sipendwi au sitongozwi mwanamke anaesema hivyo ujue tayari kuna dought either kashaanza au she is in the process alaf cha ajab wakiwa na wanawake wenzao wanajisifu eti mimi namuagalia tu siku hizi si nalipiza kisasi kwa kwenda inje lakini maana halisi ya revenge ni nini? kwamba unae mlipizia kisasi aone na a feel pain kama unafanya in hiding is that really revenge???
Ndio maana hata watalam wakutembea na wake za watu wanasubiri kipindi wamegombana na waume zao ndio wankua kazini. Na hiyo ndio favourable moment kwao au ndio kale kausemi kwamba wanawake ni dhaifu tuishi nao kwa akili
Naomba mtupe majibu kuhusu hili swala ladies please!!!
Ndio maana hata watalam wakutembea na wake za watu wanasubiri kipindi wamegombana na waume zao ndio wankua kazini. Na hiyo ndio favourable moment kwao au ndio kale kausemi kwamba wanawake ni dhaifu tuishi nao kwa akili
Naomba mtupe majibu kuhusu hili swala ladies please!!!