Wanawake tusaidieni kutupa majibu ya hili swala

Bougues

Member
Jul 3, 2012
15
2
Kuna kitu kimoja kinantatiza sana wanawake wengi kama si wote wakifika stage wakawa na conflict na mpenzi wake wana revenge kwa kutembea na mtu/ watu wengine na mara nyingi kipindi hicho ndo wanagongwa vibaya alaf badae wanajilaumu bada ya kuhesabu idadi. Munaweza kukubaliana na mimi au kukata lakini nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua hili swala ndo mana hata mkiwa na ungovi mwanamke atakimbilia kusema au unadhani mimi sipendwi au sitongozwi mwanamke anaesema hivyo ujue tayari kuna dought either kashaanza au she is in the process alaf cha ajab wakiwa na wanawake wenzao wanajisifu eti mimi namuagalia tu siku hizi si nalipiza kisasi kwa kwenda inje lakini maana halisi ya revenge ni nini? kwamba unae mlipizia kisasi aone na a feel pain kama unafanya in hiding is that really revenge???
Ndio maana hata watalam wakutembea na wake za watu wanasubiri kipindi wamegombana na waume zao ndio wankua kazini. Na hiyo ndio favourable moment kwao au ndio kale kausemi kwamba wanawake ni dhaifu tuishi nao kwa akili

Naomba mtupe majibu kuhusu hili swala ladies please!!!
 
Kuna kitu kimoja kinantatiza sana wanawake wengi kama si wote wakifika stage wakawa na conflict na mpenzi wake wana revenge kwa kutembea na mtu/ watu wengine na mara nyingi kipindi hicho ndo wanagongwa vibaya alaf badae wanajilaumu bada ya kuhesabu idadi. Munaweza kukubaliana na mimi au kukata lakini nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua hili swala ndo mana hata mkiwa na ungovi mwanamke atakimbilia kusema au unadhani mimi sipendwi au sitongozwi mwanamke anaesema hivyo ujue tayari kuna dought either kashaanza au she is in the process alaf cha ajab wakiwa na wanawake wenzao wanajisifu eti mimi namuagalia tu siku hizi si nalipiza kisasi kwa kwenda inje lakini maana halisi ya revenge ni nini? kwamba unae mlipizia kisasi aone na a feel pain kama unafanya in hiding is that really revenge???
Ndio maana hata watalam wakutembea na wake za watu wanasubiri kipindi wamegombana na waume zao ndio wankua kazini. Na hiyo ndio favourable moment kwao au ndio kale kausemi kwamba wanawake ni dhaifu tuishi nao kwa akili

Naomba mtupe majibu kuhusu hili swala ladies please!!!

mmmh sio lazima aone hata akisikia tu inatosha...kwa kukusaidia tu since your not a woman you will never understand any of them, let them be!!!
 
Kuna kitu kimoja kinantatiza sana wanawake wengi kama si wote wakifika stage wakawa na conflict na mpenzi wake wana revenge kwa kutembea na mtu/ watu wengine na mara nyingi kipindi hicho ndo wanagongwa vibaya alaf badae wanajilaumu bada ya kuhesabu idadi. Munaweza kukubaliana na mimi au kukata lakini nimefanya ka utafiti kidogo nikagundua hili swala ndo mana hata mkiwa na ungovi mwanamke atakimbilia kusema au unadhani mimi sipendwi au sitongozwi mwanamke anaesema hivyo ujue tayari kuna dought either kashaanza au she is in the process alaf cha ajab wakiwa na wanawake wenzao wanajisifu eti mimi namuagalia tu siku hizi si nalipiza kisasi kwa kwenda inje lakini maana halisi ya revenge ni nini? kwamba unae mlipizia kisasi aone na a feel pain kama unafanya in hiding is that really revenge???
Ndio maana hata watalam wakutembea na wake za watu wanasubiri kipindi wamegombana na waume zao ndio wankua kazini. Na hiyo ndio favourable moment kwao au ndio kale kausemi kwamba wanawake ni dhaifu tuishi nao kwa akili

Naomba mtupe majibu kuhusu hili swala ladies please!!!

umesahau wanaume ambao hata wasipogombana na wake zao ni kukimbilia wauza bar na wake za watu tena wazee kwao wameshachoshwa na mtaa mzima kakijana kalichooa juzi kwa msaada wa serikali na bado hajalipa deni la serikali unakuta ana makahaba kumi wake za watu na chafuchafu za mtaa siku mbili kazi hana anabaki kuiba akiba za mkewe umekuja nusu huyu unategemea mkewe anamlipa kisasi kipi
 
Kwa matusi hayo unategemea tukujibu!!
Jaman matusi gani tena Catherine am just speaking my mind and what we observe in society au guilty consciousness inakusumbua najua facts are bitter and ofcourse they are bitter pills to swallow ila just bear with me
 
umesahau wanaume ambao hata wasipogombana na wake zao ni kukimbilia wauza bar na wake za watu tena wazee kwao wameshachoshwa na mtaa mzima kakijana kalichooa juzi kwa msaada wa serikali na bado hajalipa deni la serikali unakuta ana makahaba kumi wake za watu na chafuchafu za mtaa siku mbili kazi hana anabaki kuiba akiba za mkewe umekuja nusu huyu unategemea mkewe anamlipa kisasi kipi
Nadhan Teltaibi ujaelewa post yangu vizuri maana ya revenge ni impact yake ionekane mfano umenipiga kibao namimi nakurudishia kibao au ngumi lakin kama nimeenda inje bila hata ugonvi manaake ni kwamba hiyo ni tabia yangu au hulka yangu lakin kwa ladies ni tofauti anadhan ana revenge wakati anae mufanyia revenge haoni sijui kama umenielewa
 
haha BOUGUES nilikuwa na kausingizi nikajikuta nimepitiwa ila tx kwa like yako kwa kuongezea majuto ni mjukuhu
 
Jamani sielewi kwani i siku hizi ni mada zenye kuonyesha ubaya wa mwanamke tu ndizo zinazopostiwa sasa najiuliza hivi siye wanawake hatuna jema kwenu nyie akina boss na wengine?

back to the point, ugomvi unapoingia katika mahusiano waweza kuwa na matokeo tofauti kulingana na busara,hekima, upendo na akili ya wenzi husika.

ugomvi unapoingia katika mahusiano ambayo ni ya kutegana like no real love except ni kuviziana tu, what do you expect out of it definately watalipizana visasi na kuonyeshana umwamba na ubabe usiokuwa na tij ana hapa yaweza kuwa ni kwa both patnaz.

kuna wanawake wengi tu ambao kweli wanazipenda ndoa zao kwa dhat kabisa na unapotokea ugomvi huwa bado haumshawishi kutoka nje ya ndoa yake but jamani kuna wanaume visirani duniani hapa a man can sleep with a woman in the same bed for 4 months bila hata kumgusa, what do you expect? hivi wanamke huyu unategemea asiende kupunguza nyege zake nje? na anapokwenda who is to blame? tena hapo unamkuta mwanamke husika ni mzuri, msafi anatimiza wajibu wake ndani but kila siku analia tu mume akirud ni saaa 8 usiku akiuliza ni ugomvi kwa busara anakaa kimya but uvumilivu pia humshinda jamani.

sisemi siri to me kama wewe mwanaume ukiniletea za kuleta u house eti unaniacha miez 4 chezeya miye siyo siri natafuta mbadala na mimi kwa raha zangu nikirudi ndani mwepesiiiii nakutizama tu na kila siku unaniona natoka nikiwa nimenoga kuliko kwanza, manina walai
 
Last edited by a moderator:
Wehu sana revange gan unapeleka uchi wako mwenyewe ukachapwe.
Billie have you ever seen a mistreated woman? mi nimewashuhudia bana acha kabisa, sitetei kufanya uzinzi but natetea kwa mtu kupata liwazo lake. ofcourse ugomvi wa siku moja hauwez kuleta shida ya kumfanya mtu atoke nje but kuna mazngira kaka yangu, unakuta mama kakaa ndani miez 4 hapewi penzi kila siku baba akirud ni kisirani tu, kachelewa, karudi ,aribu kuuliza hiyo mitusi unaikoga, so njia nzuri ni kwa wewe kukaa pembeni.

ukaapa pambeni ndipo unapotafuta liwazo sasa you look for a man who can satisfy ur sexual need na kukupa amani and FYI huyu mama kwa kuwa na patna nje na akamudu kupotezea mumewe huwa baada ya muda mue hujirud kwani huanza kuona mkewe ana loose attention kwake na kama huyu mama akajijua na akawa anapendeza sana kimavazi na nywele, na wakati unajipamba usimwombe sh kumi yake mbona unamkomesha? hii ni dawa aisee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom