Haven
Senior Member
- Jun 27, 2012
- 128
- 62
Jamani sielewi kwani i siku hizi ni mada zenye kuonyesha ubaya wa mwanamke tu ndizo zinazopostiwa sasa najiuliza hivi siye wanawake hatuna jema kwenu nyie akina boss na wengine?
back to the point, ugomvi unapoingia katika mahusiano waweza kuwa na matokeo tofauti kulingana na busara,hekima, upendo na akili ya wenzi husika.
ugomvi unapoingia katika mahusiano ambayo ni ya kutegana like no real love except ni kuviziana tu, what do you expect out of it definately watalipizana visasi na kuonyeshana umwamba na ubabe usiokuwa na tij ana hapa yaweza kuwa ni kwa both patnaz.
kuna wanawake wengi tu ambao kweli wanazipenda ndoa zao kwa dhat kabisa na unapotokea ugomvi huwa bado haumshawishi kutoka nje ya ndoa yake but jamani kuna wanaume visirani duniani hapa a man can sleep with a woman in the same bed for 4 months bila hata kumgusa, what do you expect? hivi wanamke huyu unategemea asiende kupunguza nyege zake nje? na anapokwenda who is to blame? tena hapo unamkuta mwanamke husika ni mzuri, msafi anatimiza wajibu wake ndani but kila siku analia tu mume akirud ni saaa 8 usiku akiuliza ni ugomvi kwa busara anakaa kimya but uvumilivu pia humshinda jamani.
sisemi siri to me kama wewe mwanaume ukiniletea za kuleta u house eti unaniacha miez 4 chezeya miye siyo siri natafuta mbadala na mimi kwa raha zangu nikirudi ndani mwepesiiiii nakutizama tu na kila siku unaniona natoka nikiwa nimenoga kuliko kwanza, manina walai
You have made my morning...lol its about time to stop point fingers on one another and start loving each other..