Wanawake tusaidieni kutupa majibu ya hili swala

Jamani sielewi kwani i siku hizi ni mada zenye kuonyesha ubaya wa mwanamke tu ndizo zinazopostiwa sasa najiuliza hivi siye wanawake hatuna jema kwenu nyie akina boss na wengine?

back to the point, ugomvi unapoingia katika mahusiano waweza kuwa na matokeo tofauti kulingana na busara,hekima, upendo na akili ya wenzi husika.

ugomvi unapoingia katika mahusiano ambayo ni ya kutegana like no real love except ni kuviziana tu, what do you expect out of it definately watalipizana visasi na kuonyeshana umwamba na ubabe usiokuwa na tij ana hapa yaweza kuwa ni kwa both patnaz.

kuna wanawake wengi tu ambao kweli wanazipenda ndoa zao kwa dhat kabisa na unapotokea ugomvi huwa bado haumshawishi kutoka nje ya ndoa yake but jamani kuna wanaume visirani duniani hapa a man can sleep with a woman in the same bed for 4 months bila hata kumgusa, what do you expect? hivi wanamke huyu unategemea asiende kupunguza nyege zake nje? na anapokwenda who is to blame? tena hapo unamkuta mwanamke husika ni mzuri, msafi anatimiza wajibu wake ndani but kila siku analia tu mume akirud ni saaa 8 usiku akiuliza ni ugomvi kwa busara anakaa kimya but uvumilivu pia humshinda jamani.

sisemi siri to me kama wewe mwanaume ukiniletea za kuleta u house eti unaniacha miez 4 chezeya miye siyo siri natafuta mbadala na mimi kwa raha zangu nikirudi ndani mwepesiiiii nakutizama tu na kila siku unaniona natoka nikiwa nimenoga kuliko kwanza, manina walai

You have made my morning...lol its about time to stop point fingers on one another and start loving each other..
 
Nadhan Teltaibi ujaelewa post yangu vizuri maana ya revenge ni impact yake ionekane mfano umenipiga kibao namimi nakurudishia kibao au ngumi lakin kama nimeenda inje bila hata ugonvi manaake ni kwamba hiyo ni tabia yangu au hulka yangu lakin kwa ladies ni tofauti anadhan ana revenge wakati anae mufanyia revenge haoni sijui kama umenielewa

Nani kakwambia revenge lazima urushe ngumi bana...ni kwakujipa pumziko so huyo mume aone asione haisumbui so long yeye mwanamke kapata tulizo..na impact utaiona tu maana kitabia ataanza kutokukujali nahilo huwaumiza sana spishi ya kiume
 
Nani kakwambia revenge lazima urushe ngumi bana...ni kwakujipa pumziko so huyo mume aone asione haisumbui so long yeye mwanamke kapata tulizo..na impact utaiona tu maana kitabia ataanza kutokukujali nahilo huwaumiza sana spishi ya kiume

bidada Heaven hawa watu wasikuchoshe to me dawa ya mwanaume jeuri ni moja tu and i will dare do it hata kama watu watanipinga.

timiza wajibu wako ndani as mama na mke wa mtu, jipambe sana yaani nguo nzuri za maana hata kama niza mtumba usikose manyanya kinondoni na mwenge stend pana husu hapa,ukimaliza toka kajipe raha usimuulize kwanini kafanya hivi wala vile inauma bt kaa kimya kisha tafuta mbadala mtu wa heshima zake ambaye hata kupa shombo la matatizo na ukitoka naye usimweleze reason wewe fanya ni for fun. siku home kimechacha weye wajongea kwake taratibu ukirudi mwepesiiii.................wanawaume ni watu wa ajabu sana aisee na huwa wanatumia ule msemo atafanya nini huyu so weye huna haja ya kumuonyesha unapopakwenda weye alimradi wajua moyo wako unapatepo liwazo somewhere
 
Last edited by a moderator:
kila mtu ana uhuru wa kufanya atakacho hata katika sexual matters, kucheat achit mwanaume akichit mwanamke malaya! waacheni na wao wafanye watakavyo
 
Hivi nyuchi zenu nyie wanaume hazina thamani? Ama kwa vile haziishi kama kipande cha mbuni? Kaeni vizuri na wenza wenu, manake hata nyie mnavyotoka nje mnachapwa sijui kuchapa! I wish wanaume wangethamini miili yao kama ambavyo wanalazimishia wanawake wajithamini!
Wehu sana revange gan unapeleka uchi wako mwenyewe ukachapwe.
 
Zikiisha anakaa pending anasubiria hasira zingine. Kwani pm zinahama? Tena namtumia 'fyi, as above' anajua twende kazi!

habari ndio iyo best, wao wanaona za ke tu za kuthamini wanasahau zakwao. baeleze wanaume kiini cha mabadiliko
 
Inabidi afungue kampuni ya kutuliza hasira za wamama. Wateja watamzidi!

This hollier than thou attitude inanichosha kwa kweli! Ati men wakiona hawajaridhika na usafi wa nyumbani wanaenda nje ya ndoa, mwanamke akitoka yeye anafanya 'stupid revenge'

Mwaka huu mntanyooka hehehe!
Haya The Boss King'asti asha-pm....jiandae p.m yangu kesho..
 
Hehehe! Wamelianzisha sie tunamalizia!
Wanawake wengi, I can say ukiacha physical abuse wanapata emotional abuse (mtu kila siku unarudi kwako saa nane za usiku, mashosti wanaume wazima mnang'ang'aniana bar,kha!) Na kubwa zaidi cheatings! Haya urudi saa nane na kisirani juu! Akhuu!
habari ndio iyo best, wao wanaona za ke tu za kuthamini wanasahau zakwao. baeleze wanaume kiini cha mabadiliko
 
mmmmmhhhhhhh hebu endeleeni kwanza nitarudi baadaye! unakuta mtu ni mwanachama wa revola mpaka imesinyaa na kupinda juu ka banio la ugali! hata kabla ya ugomvi unatafuta tu assistance, ikibidi hata dildo zahusika! mbona nyie huwa mnatudiss hata kabla ya ugomvi, yaani mtu anaamua tu anatoka na best friend wako, ila nyie mnakera. sisapoti revenge ila napinga UBINAFSI WENU MEN!
 
Hehehe! Wamelianzisha sie tunamalizia!
Wanawake wengi, I can say ukiacha physical abuse wanapata emotional abuse (mtu kila siku unarudi kwako saa nane za usiku, mashosti wanaume wazima mnang'ang'aniana bar,kha!) Na kubwa zaidi cheatings! Haya urudi saa nane na kisirani juu! Akhuu!

ndio maana nasema, wao ndio kiini cha mabadiliko. to me siwez hata siku moja eti kufa kishujaa, unavumilia nini wakati huna raha? najipa raha ndani ni makutano tu.
 
Back
Top Bottom