BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Hapo sasaHaa nisivopenda kushea cm na mtu nimeeka PW kabisa...
Huo ushost wa kua huru na cm yangu hapana aise
Wanawake wengi wanashindwa kutofautisha na kuweka mipaka ya urafiki.....Siri na shosti no tutakaa kula kunywa saa yangu ikifika goodbye siku tunaachana hana la kusema mwanamke mmbeya sipatani nae kabisa.
Mimi ni mchoyo wa cm yangu kwakweli. Hata dogo hua simpi ila yake nagusa lolHapo sasa
Kwanza kwenye simu wanatafuta umbea tu...
Asome msg zako
Kama shosti kigego achukue na namba ya mahabuba wako ajipeleke peleke
Aaaaiiiiiii yaani nina shosti 2 tu wa kufa na kuzikana ila hakuna anayeshika simu ya mwenzie
Na kuna limitation
Hata kandambili hatuvaliani
Haaaa haaaa..si kwa mshushuo huu..uwiiii kwa lipi na ukarimu upi na umeanza lini.
sitaki kabisa kusikia.
Niunge na mimi kwenye kigroup chenu shoga?pole,,,,sina rafiki wa kike nilitemana nao tangu siku namaliza chuo ,,marafiki zangu wa shida tabu na raha ni wanaume wenye akili, wanaonipa chachu ya kuendelea..ninao marafiki kumi wakiume najivunia kuwa na marafiki wa aina hiyo ,namshukuru ..kila mwisho wa mwezi tunakutana kubadilishana mawazo na tuna kikundi chetu ....
Njoo ujiunge nami sinaga maneno ni mwendo wa kuweka mziki.Niunge na mimi kwenye kigroup chenu shoga?
Mi wanawake nimewasusa..
Kuna bidada mmoja ana hizo mambo yani akiona simu yangu roho inamrukaa sijuagi hata kwa nini espy tayari nishasema Ke mwenzangu hukuu hahaha
Wengi hawayajui hayo.Siri na shosti no tutakaa kula kunywa saa yangu ikifika goodbye siku tunaachana hana la kusema mwanamke mmbeya sipatani nae kabisa.
Aliyewaroga alikuwa uchi na alishafariki..!Hivi sisi hatuwezi kuwa marafiki mpaka tusemane vibaya, yani usipomsema mwenzio unaona siku haiendi au inakuwaje, unakuta unakuwa na rafiki mnasaidiana kwa hali na mali lakini au akiwa na shida unamsaidia tena vya kwake mchoyo kweli, unajitoa kwa kila kitu lakini utakuta linakusema vibaya sijui ni wivu, chuki hata sielewi aisee!
Hii tabia tunayo sana wanawake tubadilike jamani, maisha yashakuwa magumu maneno ya nini, mimi nishaamua sasa niwe mwenyewe tu sitaki marafiki maana ukigeuza tu mgongo wauaji, halafu ukitaka kukumbuka kitu ambacho umemuudhi huoni au ukimuuliza anasema hakuna kitu yaishe tu nisamehe.
Au wengine bila kusema wenzao siku haziendi vizuri "lazima tuji control "
Yaani nishaamua toka mwaka jana hakuna rafiki yeyote kushika simu yangu, wala kujua password, misele yangu napiga kimya kimya, sitambulishi mpenzi wangu tuonane wenyewe tu. Maana maneno mengi mpaka unachoka.
Wanawake sisi ni kibokooo
Nawewe Shosti yako alikufanyia nini?? Mimi mwingine ananisema eti namtega mume wake hahaha nimwendo wa shosti tu
Mie nasubiri atakaesema yeye ndio alimfanyia ndivyo sivyo shosti yake. Maana hapa kila mtu anamsingizia shosti.
Nawewe Shosti yako alikufanyia nini?? Mimi mwingine ananisema eti namtega mume wake namvalia vimini hahaha
Hahahahaha wa.umbeya hapana achelewi kugeuza kibao kwamba wewe ndio umesema.......kweli unatakiwa kuangalia nani wakumwambia habari zakoWanawake wengi wanashindwa kutofautisha na kuweka mipaka ya urafiki.....
Kuna shosti wa kutoa nae stori tu
Kuna wa kupeana dili na aidia za biashara tu
Kuna wa kula nae bata tu....huyu kwenye shida hanuonani
Kuna wa kucheka nae tu
Kuna mmoja wa kushea BAADHI ya furaha zako na vilio vyako nasisitiza BAADHI.....
pia kuna shosti wa kupiga nae umbea tu......walahi
Umbea unatakiwa kuwa msikilizaji tu.....Hahahahaha wa.umbeya hapana achelewi kugeuza kibao kwamba wewe ndio umesema.......kweli unatakiwa kuangalia nani wakumwambia habari zako
Mimi nipo na maisha yangu navaa navotaka ilimradi nisivunje sheria tu na tumezungukwa na wanaume wengi tu iweje mumewe ambae ni jirani yangu ??? What if mumewe alimwambia mkewe as a defense mechanism?? What if he wanted to rap me the first day nafika hapo?? what if mumewe anatabia chafu za mazoea ya kutaka kunishika shika afu mimi nimchekee tu?! What if nilikemea nikamchamba mumewe mpaka ikifikia hatua ya ku- snitch juu yangu?! na ujue mkewe ni shoganguu so lazima ajihami Kuna mengi bibie Don't judge me mamaa u don't know what is behind the carpet..
Ndio uache kumvalia mume wa mwenzio vimini.
Mie was just kidding mama, hauwezi kuacha kufanya jambo linalokufurahisha eti kisa fulani atasema.Mimi nipo na maisha yangu navaa navotaka ilimradi nisivunje sheria tu na tumezungukwa na wanaume wengi tu iweje mumewe ambae ni jirani yangu ??? What if mumewe alimwambia mkewe as a defense mechanism?? What if he wanted to rap me the first day nafika hapo?? what if mumewe anatabia chafu za mazoea ya kutaka kunishika shika afu mimi nimchekee tu?! What if nilikemea nikamchamba mumewe mpaka ikifikia hatua ya ku- snitch juu yangu?! na ujue mkewe ni shoganguu so lazima ajihami Kuna mengi bibie Don't judge me mamaa u don't know what is behind the carpet..
Huu nao ni umbea.We mwenyewe si unaona hata akili zao huyu jukwaani zilivyo.Eti oh rafiki yangu,shost wangu,mara mpenzi wangu.Ni kama vile vichwani kwao hamna mawazo mengine zaidi ya umbeya na mapenzi tu.