Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,378
- 2,054
Ni kama mwamvuli wa kujikinga na udhaifu,maana wanawake by nature tu mna ka udhaifu flani hiviWanawake wengi field yao ipo limited sana, hawapo sana kwenye mambo ya mpira, pombe, muziki, kazi na pia kuongea 'hard topics' kama elimu, siasa, sera mbalimbali sio sana, so ndio maana mada nyingi (sio zote) zinakuwa ni kuhusu mahusiano tu, yawe kifamilia, kimapenzi n.k, na mazungumzo hayahusu kusemana vibaya tu, kumsema kupo mara nyingi sababu kumsema mtu vibaya kisaikolojia huwa kunaleta faraja flani hivi hasa ukiwa na matatizo....
Pole sana dada, hilo si tatizo kwa wanawake tu bali hata wanaume pia.Hivi sisi hatuwezi kuwa marafiki mpaka tusemane vibaya, yani usipomsema mwenzio unaona siku haiendi au inakuwaje, unakuta unakuwa na rafiki mnasaidiana kwa hali na mali lakini au akiwa na shida unamsaidia tena vya kwake mchoyo kweli, unajitoa kwa kila kitu lakini utakuta linakusema vibaya sijui ni wivu, chuki hata sielewi aisee!
Hii tabia tunayo sana wanawake tubadilike jamani, maisha yashakuwa magumu maneno ya nini, mimi nishaamua sasa niwe mwenyewe tu sitaki marafiki maana ukigeuza tu mgongo wauaji, halafu ukitaka kukumbuka kitu ambacho umemuudhi huoni au ukimuuliza anasema hakuna kitu yaishe tu nisamehe.
Au wengine bila kusema wenzao siku haziendi vizuri "lazima tuji control "
Yaani nishaamua toka mwaka jana hakuna rafiki yeyote kushika simu yangu, wala kujua password, misele yangu napiga kimya kimya, sitambulishi mpenzi wangu tuonane wenyewe tu. Maana maneno mengi mpaka unachoka.
Wanawake sisi ni kibokooo
kwani umeitwa hapa kweliAseeeh
jinsia plseNatafuta rafiki
Ke....nyie si mnakataana humu. Mimi nahitaji dozen of them.ila ule wa benefit eehjinsia plse
Ndo wepi dear shem?Ke....nyie si mnakataana humu. Mimi nahitaji dozen of them.ila ule wa benefit eeh