Wanawake tumezidisha mechi za nje.

Kweli leo umekuwa mdogo sana

Lazima unaweza kusababisha mjukuu mmoja akimbie majibu ya vinasaba kwa mumewe

Bomba kishenzi hadi akina Kongosho, Preta, Filipo, Erickb52 na wajukuu wengine wanaanza kubishana eti mie siyo wa 1947. Kisa, eti bibi kanitunza vizuri...

Hata sijui...may be wanataka niwape urithi wao leo??....Ila nimegoma kureveal will...


Wewe huogopi DNA test?

Babu DC!!
 
Nimeisoma hiyo!Tena tafiti zinasema mwanamke akiwa na mahusiano ya nje ya ndoa siku ambazo ni likely akacheat na huyo mwanaume ni siku za ovulation ndiyo maana wanalazimika kukimbia majibu ya vinasaba kwani kutikisika kwa nyavu ni asilima 98.9.
 
tit 4 tat hiyo..mbona wanaume nao wanazaa nje huko watoto hawajulikani utashangaa tu siku akifariki wanakuja watoto msibani kopiryt na marehemu na kumuacha mjane yuko frastrated....hiyo ilitokea kwa mama mmoja ni rafiki wa familia yangu....yaani ishu ikiwa kwa wanaume watu aaah, shwari tu, ila kwa kina mama ndio inakuwa msala...kun**ya an**ye kuku aki***ya bata kaharisha!!!

Hata huyo aliyempa mimba huyo mwanamke ni mwanaume, na alijua kuwa huyo ni mke wa mtu eti
 
Hebu pitia hapa ujionee.
imekaaje wadau

Kwani hao wanawake wanadunguliwa mimba na mapepo? Sema bahati tu wanaume hatubebi mimba, maana mmoja anaweza sababisha hata DNA tano zigome!
 
Lazima wakimbie, hawa wenzetu wakitoa game za nje wanajisahau sana. Mixer hadi INPUT.
 
Hizi lawama za kuzaa nje wanabeba tu kina mama coz ndio wanabeba mimba laiti kama na wanaume wangekua wanabeba mimba na wenyewe wangikimbia tu haya majibu ya DNA
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Kufanya mpango Wa kando kwa wanandoa si vizuri. Ila ubaya kwa mwanamke ni kuwa " kwanini akusingizie mtoto ambaye si wako"?? Mbona mi nikizaa nje simsingizii kuwa mtoto ni wake?
 
523588_10152052656975416_1615451526_n.jpg
 
Bomba kishenzi hadi akina Kongosho, Preta, Filipo, Erickb52 na wajukuu wengine wanaanza kubishana eti mie siyo wa 1947. Kisa, eti bibi kanitunza vizuri...

Hata sijui...may be wanataka niwape urithi wao leo??....Ila nimegoma kureveal will...


Wewe huogopi DNA test?

Babu DC!!

Babu usishangae hao wajukuu zako ndo matokeo ya kitu ya Arusha lol,
ah haya mambo ya DNA ni kizungumkuti labda kwa sisi tunaoishi fikra zenu za miaka ya 47.
Mambo ya siri ya kitanda!
 
Last edited by a moderator:
Yaani akisha kimbia tu, basi hayo ndio majibu tayari kuonyesha mume si dume la mbigu hiyo inayoonekana!! Mimi naombea technology hii iwe-advanced kiasi cha kuwa kama kile kipimo cha mkojo kuangalia mimba, yaani naenda tu pharmacy nanunua halafu kipimo kinaendelea nyumbani tena mida ya usiku huku grill zote zimefungwa!!!!!!!
 
Back
Top Bottom