Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Kweli leo umekuwa mdogo sana
Lazima unaweza kusababisha mjukuu mmoja akimbie majibu ya vinasaba kwa mumewe
Lazima unaweza kusababisha mjukuu mmoja akimbie majibu ya vinasaba kwa mumewe
tit 4 tat hiyo..mbona wanaume nao wanazaa nje huko watoto hawajulikani utashangaa tu siku akifariki wanakuja watoto msibani kopiryt na marehemu na kumuacha mjane yuko frastrated....hiyo ilitokea kwa mama mmoja ni rafiki wa familia yangu....yaani ishu ikiwa kwa wanaume watu aaah, shwari tu, ila kwa kina mama ndio inakuwa msala...kun**ya an**ye kuku aki***ya bata kaharisha!!!
wanawake wanacheza sana nusu fainali siku hizi.
Hebu pitia hapa ujionee.
imekaaje wadau
labda tuwape ushauri wa bure kwamba wanapoamua kutoa mechi za nje timing ni lazmaLazima wakimbie, hawa wenzetu wakitoa game za nje wanajisahau sana. Mixer hadi INPUT.
Bujibuji LEO UMECHANGANYA MADESA WEWE ULIKUWA UNACHANGIA MADA HII HUKU MBONA UMEANDIKA KWENYE HII NYINGINE TATIZO LAKO UNATAKA KILA MADA UDONDOSHE WINO ONA SASA UNAVOCHANGANYA MAMBO BADILI TABIA WALA HAJAPITA HUKU HAHAHAHAHAH NIMECHEKA SNABADILI TABIA, nayapenda yenye kubeba ujumbe mzito. Sio mtoto unamwita Irene halafu hujui maana yake, ndio maana wengi vicheche
Bujibuji LEO UMECHANGANYA MADESA WEWE ULIKUWA UNACHANGIA MADA HII HUKU MBONA UMEANDIKA KWENYE HII NYINGINE TATIZO LAKO UNATAKA KILA MADA UDONDOSHE WINO ONA SASA UNAVOCHANGANYA MAMBO BADILI TABIA WALA HAJAPITA HUKU HAHAHAHAHAH NIMECHEKA SNA
https://www.jamiiforums.com/habari-...oysterbay.html?highlight=majina+ya+uswahilini
hiyo misemo ya kilong bwana sa kwani kitanda kinazaa kweli? af mtoto sio haram bali kitendo ndio haram
wacha kuzuga mkuu umechanganya madesa wewehapana, sijachanganya desa. uki BADILI TABIA hutozaa nje, na wala kutakuwa hamna haja ya kwenda kwenye DNA test
usiusemee moyo, shauri yakowacha kuzuga mkuu umechanganya madesa wewe
Ukiona damu ujue keshachinjwa huyo!
Na hawashindwi kwenye hiyo fainali, wanachukua na kombe!!Siku hizi wanakipiga mpaka fainali..............!:becky: