Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Ndo hapo sasa! Wanakimbia majukumu ya matendo yetu wenyewe.Wanakimbia nini? majibu?
Ndo hapo sasa! Wanakimbia majukumu ya matendo yetu wenyewe.Wanakimbia nini? majibu?
Uende na Mkurya halafu majibu yawe mtoto si wa kwake, atakucharangaje mapanga? Kwa kizungu wanaita kughecha
Nitayatumia kudai fidia ya gharama za kutunza mimba na kutunza mtoto sio wangu na kuchafuliwa jina.
Wanaume ni vyanzo vya maafa hayo. Mimi siwezi kuogopa kwa sababu nina jibu halali la maswali nitakayoulizwa baada ya majibu kutoka. Unakuta mwanaume mbegu zake ni mapumba, ndugu zake wanachonga as if mimi ndiyo mwenye tatizo. Unategemea nifanyeje zaidi ya kwenda kuondoa aibu ya mume wangu.
Aaaaah! wanawake hawana sababu ya kuogopa.
Mie nakuelewa sana Caroline Danzi, may be kwa sababu mimi natokea kwenye 1947 club,
Pressure ya kutokuwa na mtoto ndani ya ndoa ni kubwa mno na wanaosema sema labda hawajawahi kukutana nayo!
Babu DC!!!
Yani afadhali uwaambie wenzio coz hata hapa nilipo nipo na mkke wa mtu nakula mzigo tangu asubuhi na aliaga anaenda kibaha.kaingia kuoga ninavyaondika.yani anatoa mchezo si kitot.sijui mmelogwa au ndo uhuni tuu.badilikeni.
labda tuwape ushauri wa bure kwamba wanapoamua kutoa mechi za nje timing ni lazma