Wanawake tuhurumieni wanaume jamani.

Wanawake tuhurumieni wanaume jamani.

Rafiki yangu yupo kwenye mzozo mkali na mpenzi wake, walitoka kutembea na wakakaa katika bar moja, wamekunywa na kula, wakati wanatoka dada yule akakutana na mwanaume mmoja wanaofahamiana, wakaanza kupiga story, jamaa amesimama kusubilia muda mrefu hadi akaamua kutangulia tu na kuwaacha wakiongea, baadae ndo akamkuta stand ya daladala wakaondoka. Rafiki yangu anasema alichukia kidogo amnase kofi mpenzi wake na kinachomuumiza zaidi ni story gani hizo ndefu walikuwa wakiongea hadi asimjali kiasi kile? amemuuliza anasema eti ni walisoma naye, nimemwambia awe mvumilivu, wanawake ni mizigo na hilo lilomfika ni dogo tu kati ya makubwa huko mbeleni.

dah..hii imeonesh nafasi ya man kuw ni ndogo pale akiw around na old frnds..me nisinge ask kabsa abot alicho fany..nione busara yak.kama akipotezea na yeye ntajua she dont care abot u kivile
 
umeongea mengi lakini zote ni pumba.
tunawavumila coz tinafahamu shule zitafungua mtatuondolea ujinga ujinga
wenu hapa. maana hadi mnatia kinyaa. ptuuuuuu
ni kweli wanawake ni
mizigo,tena mizigo ya uchafu isiyobebeka,alaf mungu gan anakwaza
watu?huyo atakua mungu mjinga,ila mungu wa mbinguni hayuko hvo
usimsingizie,huyo mungu anaekwaza watu atakua mungu wa wafu asie na
akili.
 
kwa
hiyo unataka kusema hilo nalo limesababishwa na yeye kuwa mwanamke?
hakuna wanaume ambao wana tabia kama hiyo? jaman tuelimishane ndio
lakini weakness zingine sio za jinsia fulan tu. halafu sijapenda hapo
uliposema wanawake ni mzigo. hiyo ni kauli mbaya na usiitumie tena mkuu. hata mungu wa mbinguni inaweza kumkwaza sana watu ambao yeye amewaumba kwa maarifa makubwa wewe binadam dhaifu uje kuwaita mizigo..
Kwa hiyo kwa Maghembe, Chiza, Malima, Ghasia, Kombani etc kuitwa Mizigo ni sawa ila kwa nyie, ni no -no.???
 
Rafiki yangu yupo kwenye mzozo mkali na mpenzi wake, walitoka kutembea na wakakaa katika bar moja, wamekunywa na kula, wakati wanatoka dada yule akakutana na mwanaume mmoja wanaofahamiana, wakaanza kupiga story, jamaa amesimama kusubilia muda mrefu hadi akaamua kutangulia tu na kuwaacha wakiongea, baadae ndo akamkuta stand ya daladala wakaondoka. Rafiki yangu anasema alichukia kidogo amnase kofi mpenzi wake na kinachomuumiza zaidi ni story gani hizo ndefu walikuwa wakiongea hadi asimjali kiasi kile? amemuuliza anasema eti ni walisoma naye, nimemwambia awe mvumilivu, wanawake ni mizigo na hilo lilomfika ni dogo tu kati ya makubwa huko mbeleni.

mi nahisi nina mapungufu jamani...!

sijui ni vipi...!

mi ni mtoto wa kiume lakini nahisi ni mpana sana,

tukio kama hili siwezi kuruhusu kuachia hata 2metre distance muongee,

nahisi nina wivu to the maximum!

hapo ni bora hata jamaa angetambulishwa nini, then salam kidogo, wasepe!

mengineyo ya nini sasa?

si ndio mwanzo wa kukatwa kidizain fulani hivi?
 
Basi kamaa ndio hivyo tuwahurumie nin maana mi nilodhan kachunwaa vya kutosha kumbe hivyo tuuuuu aaaargggghhhh
 
nadhani sasa watu mmeshanielewa kwa kauli hii ya PesaNdogo.
nini sasa hapo, Mi naona wanaume huwa wana nguvu, mtu akilalamika anaambiwa anakuwa kama mwanamke, hawahitaji huruma.
 
Last edited by a moderator:
si muoane wenyewe kwa wenyewe kuna haja gani ya kung'ang'ania kuishh na viumbe dhaifu kama wanawake!

sasa hili jibu gani, huu nao ni ushahidi tosha, wanawake mmekuwa na jeuri sana siku hizi, mmekuwa mizigo kweli kweli.
 
Rafiki yangu yupo kwenye mzozo mkali na mpenzi wake, walitoka kutembea na wakakaa katika bar moja, wamekunywa na kula, wakati wanatoka dada yule akakutana na mwanaume mmoja wanaofahamiana, wakaanza kupiga story, jamaa amesimama kusubilia muda mrefu hadi akaamua kutangulia tu na kuwaacha wakiongea, baadae ndo akamkuta stand ya daladala wakaondoka. Rafiki yangu anasema alichukia kidogo amnase kofi mpenzi wake na kinachomuumiza zaidi ni story gani hizo ndefu walikuwa wakiongea hadi asimjali kiasi kile? amemuuliza anasema eti ni walisoma naye, nimemwambia awe mvumilivu, wanawake ni mizigo na hilo lilomfika ni dogo tu kati ya makubwa huko mbeleni.
this statement is very humiliating and dehumanizing,nimejifunza better not to use statements like this!SAMAHANI SANA KWA WOTE NILIOWAUDHI KWA COMMENT YANGU
 
ni mizigo kweli! coz majority of them hawajielewi huenda hata ww ni mmoja kati ya wasio jielewa ndo maana sir God akamfanya mwanaume kuwa kichwa cha familia na sio mwanamke kwa sababu anawajua vizur wasivyo msimamo na weledi wa akili
 
Ni vema kuzingatia hisia za wenza jamani. Kuna jamaa kadhaa hupenda kuvuruga mambo. nadhani ingetosha tu kusalimiana na kuondoka pamoja. Wake kwa waume kuna wavurugaji be careful!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom