Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Tunatoa sana, kuna wanawake wanatia aibu sana.
Kuna binti tulitoka out ikiwa ni mara ya kwanza kuonana ana kwa ana.
Tulipata chakula cha jioni/usiku pamoja sehemu tulivu na bora kabisa.
Tukiwa tunapiga stori za hapa na pale akaanza:
1. Baby baada ya siku mbili ni birthday yangu
Anaomba 200k nikasuke
2. Halafu sina kiatu kizuri.
3. Naomba zawadi isiyopungua 300k
4. Sijui nini nini nini...aghhh

Kwa maoni yangu alipaswa kunipa taarifa then aniachie mimi nijiongeze.
Kwa kifupi nilimuona ni fyatu

Kuna fyatu lingine lipo huku
Lilisema linashida na elfu 50[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna fyatu lingine lipo huku
Lilisema linashida na elfu 50[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpe mko shida nini?
Tatizo huyu ninayemzungumzia tulionana tu kwa mara ya kwanza akanimwagia shida zote[emoji23][emoji23][emoji23]

So tatizo sio kuomba bali mko na uhusiano?
Na na una muda gani?
 
Back
Top Bottom