kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,421
- 17,158
Mpe mko shida nini?
Tatizo huyu ninayemzungumzia tulionana tu kwa mara ya kwanza akanimwagia shida zote
So tatizo sio kuomba bali mko na uhusiano?
Na na una muda gani?
Ndugu yangu acha kabisa


Mpe mko shida nini?
Tatizo huyu ninayemzungumzia tulionana tu kwa mara ya kwanza akanimwagia shida zote
So tatizo sio kuomba bali mko na uhusiano?
Na na una muda gani?


Wow!! Asante sanaMume bora anamjua mke aliye bora
Dooo... Tuma kwa number hiMimi endeleeni tu kuniomba hamna shida
Sharing is caring
Alikuomba wewe sio mimiMpe wew![]()
Nashangaa...Sasa mwanamke kwanini asiombe hela..Jaman wanawake, hizii muwe mnaacha wanaume wenyewe ndio wanazianzisha
Sasa kama sisi watoaji wa pesa hatulalami. Kwann nyie ndio mlalame.
Hata msihangaike, nyie tutaendelea kuwapa tu.



Alikuomba wewe sio mimi




















ntanyimwa badaeKioneKi kawaida hua sibishani na ubavu wanguntanyimwa badae
Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa
Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo kisa pesa. Siku hizi tunatumia ovyo tumekuwa Kama public toilet kisa kuendekeza umaskini mtu akikupa hela kidogo umehamia na mimba unabeba mwisho unatelekezwa. Wanawake wenye shughuli zao wanajiamini pia wanamisimamo na wanaheshimika Sana. Tuache kujidhalilisha kisa pesa ,pesa zinatafutwa bwana
Tutafute pesa tuwapunguzie wababa mijengo majukumu tuwasupport jaman Hawa wababa Kuna wakati wanazidiwa mpak wakifike nyumban akun tabasamu kwa mastress ya familia. Tunyanyuke jamani kudanga ,kuchuna mwisho 2020







Hili la wanawake kuacha kuomba pesa haliwezekani. Haitotokea!Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa
Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo kisa pesa. Siku hizi tunatumia ovyo tumekuwa Kama public toilet kisa kuendekeza umaskini mtu akikupa hela kidogo umehamia na mimba unabeba mwisho unatelekezwa. Wanawake wenye shughuli zao wanajiamini pia wanamisimamo na wanaheshimika Sana. Tuache kujidhalilisha kisa pesa ,pesa zinatafutwa bwana
Tutafute pesa tuwapunguzie wababa mijengo majukumu tuwasupport jaman Hawa wababa Kuna wakati wanazidiwa mpak wakifike nyumban akun tabasamu kwa mastress ya familia. Tunyanyuke jamani kudanga ,kuchuna mwisho 2020
WADANGAJI sidhani watasoma hata nusu ya uzi wako?Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa
Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo kisa pesa. Siku hizi tunatumia ovyo tumekuwa Kama public toilet kisa kuendekeza umaskini mtu akikupa hela kidogo umehamia na mimba unabeba mwisho unatelekezwa. Wanawake wenye shughuli zao wanajiamini pia wanamisimamo na wanaheshimika Sana. Tuache kujidhalilisha kisa pesa ,pesa zinatafutwa bwana
Tutafute pesa tuwapunguzie wababa mijengo majukumu tuwasupport jaman Hawa wababa Kuna wakati wanazidiwa mpak wakifike nyumban akun tabasamu kwa mastress ya familia. Tunyanyuke jamani kudanga ,kuchuna mwisho 2020
Huyu Dada asitukere.. mwanaume anakutongoza anakwambia nafanya KAZi sehemu flani..namiliki hichi na hichi na hichi...hujaamuulizanot to sound rude ila dada hela za kupewa tamu haswa ukipewa na mpenzi wako hta kama una hela zako ila ukipewa inakua na utamu flani