Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Mpe mko shida nini?
Tatizo huyu ninayemzungumzia tulionana tu kwa mara ya kwanza akanimwagia shida zote

So tatizo sio kuomba bali mko na uhusiano?
Na na una muda gani?

Ndugu yangu acha kabisa
 
KAZI ya mwanaume kuhudumia.. Kama huyo mwanaume hajiongezi... Doooh
 
Wanaume pia tunaomba nakala ya mawazo haya... tutayatumia kwenye kikao chetu cha mwaka huu 2021
 
Jaman wanawake, hizii muwe mnaacha wanaume wenyewe ndio wanazianzisha

Sasa kama sisi watoaji wa pesa hatulalami. Kwann nyie ndio mlalame.


Hata msihangaike, nyie tutaendelea kuwapa tu.
 
Jaman wanawake, hizii muwe mnaacha wanaume wenyewe ndio wanazianzisha

Sasa kama sisi watoaji wa pesa hatulalami. Kwann nyie ndio mlalame.


Hata msihangaike, nyie tutaendelea kuwapa tu.
Nashangaa...Sasa mwanamke kwanini asiombe hela..
Husband Kama unasoma hapa...Mimi napenda kupewa Pesa
Nanikiona huto willingly itabidi NIANZE KUOMBA..
 
Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa

Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo kisa pesa. Siku hizi tunatumia ovyo tumekuwa Kama public toilet kisa kuendekeza umaskini mtu akikupa hela kidogo umehamia na mimba unabeba mwisho unatelekezwa. Wanawake wenye shughuli zao wanajiamini pia wanamisimamo na wanaheshimika Sana. Tuache kujidhalilisha kisa pesa ,pesa zinatafutwa bwana

Tutafute pesa tuwapunguzie wababa mijengo majukumu tuwasupport jaman Hawa wababa Kuna wakati wanazidiwa mpak wakifike nyumban akun tabasamu kwa mastress ya familia. Tunyanyuke jamani kudanga ,kuchuna mwisho 2020
 
Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa

Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo kisa pesa. Siku hizi tunatumia ovyo tumekuwa Kama public toilet kisa kuendekeza umaskini mtu akikupa hela kidogo umehamia na mimba unabeba mwisho unatelekezwa. Wanawake wenye shughuli zao wanajiamini pia wanamisimamo na wanaheshimika Sana. Tuache kujidhalilisha kisa pesa ,pesa zinatafutwa bwana

Tutafute pesa tuwapunguzie wababa mijengo majukumu tuwasupport jaman Hawa wababa Kuna wakati wanazidiwa mpak wakifike nyumban akun tabasamu kwa mastress ya familia. Tunyanyuke jamani kudanga ,kuchuna mwisho 2020
Hili la wanawake kuacha kuomba pesa haliwezekani. Haitotokea!

1. Wanawake waombe pesa kwa wapenzi wao.
2. Wanawake waanzishe ama waendeleze shughuli zao za kiuchumi.
 
Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa

Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo kisa pesa. Siku hizi tunatumia ovyo tumekuwa Kama public toilet kisa kuendekeza umaskini mtu akikupa hela kidogo umehamia na mimba unabeba mwisho unatelekezwa. Wanawake wenye shughuli zao wanajiamini pia wanamisimamo na wanaheshimika Sana. Tuache kujidhalilisha kisa pesa ,pesa zinatafutwa bwana

Tutafute pesa tuwapunguzie wababa mijengo majukumu tuwasupport jaman Hawa wababa Kuna wakati wanazidiwa mpak wakifike nyumban akun tabasamu kwa mastress ya familia. Tunyanyuke jamani kudanga ,kuchuna mwisho 2020
WADANGAJI sidhani watasoma hata nusu ya uzi wako?
 
not to sound rude ila dada hela za kupewa tamu haswa ukipewa na mpenzi wako hta kama una hela zako ila ukipewa inakua na utamu flani
 
not to sound rude ila dada hela za kupewa tamu haswa ukipewa na mpenzi wako hta kama una hela zako ila ukipewa inakua na utamu flani
Huyu Dada asitukere.. mwanaume anakutongoza anakwambia nafanya KAZi sehemu flani..namiliki hichi na hichi na hichi...hujaamuuliza
Inamaana indirectly anakwambia kuwa anaweza Kukuhudumia...
 
Yaani Hapa natafuta lugh nzuri na maneno mazuri..... Kuomba pesa siwezi Acha. Naweza nikachelewa kuanza kuomba lakini Naamini kupewa pesa Ni wajibu wa mwanaume kwangu
 
Back
Top Bottom