Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa

Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo kisa pesa. Siku hizi tunatumia ovyo tumekuwa Kama public toilet kisa kuendekeza umaskini mtu akikupa hela kidogo umehamia na mimba unabeba mwisho unatelekezwa. Wanawake wenye shughuli zao wanajiamini pia wanamisimamo na wanaheshimika Sana. Tuache kujidhalilisha kisa pesa ,pesa zinatafutwa bwana

Tutafute pesa tuwapunguzie wababa mijengo majukumu tuwasupport jaman Hawa wababa Kuna wakati wanazidiwa mpak wakifike nyumban akun tabasamu kwa mastress ya familia. Tunyanyuke jamani kudanga ,kuchuna mwisho 2020
Kwani ndo mwisho wa dunia, kama alitoka kwenye ubavu wa mwanaume ataendelea kumutegemea mwanaume mpaka mwisho wa kiama. Imeandikwa.
 
Tunatoa sana, kuna wanawake wanatia aibu sana.
Kuna binti tulitoka out ikiwa ni mara ya kwanza kuonana ana kwa ana.
Tulipata chakula cha jioni/usiku pamoja sehemu tulivu na bora kabisa.
Tukiwa tunapiga stori za hapa na pale akaanza:
1. Baby baada ya siku mbili ni birthday yangu
Anaomba 200k nikasuke
2. Halafu sina kiatu kizuri.
3. Naomba zawadi isiyopungua 300k
4. Sijui nini nini nini...aghhh

Kwa maoni yangu alipaswa kunipa taarifa then aniachie mimi nijiongeze.
Kwa kifupi nilimuona ni fyatu
Hapo stimu yote kwishinei, anakufanya hanithi kwa muda.
 
Wapo kwa mwamposa kukanyaga mafuta subiri watoke

Ili tubalance hii mada mimi nawashauri pia wanaume wajifunze kutoa hela bila kuombwa

Kama kusudio lenu ni kuchapa kazi na kujitafutia, tutoe za kazi gani?
 
Umejuaje?
Mbona mie ndo zangu,nataka nikuweke kwenye kundi la wadogo zangu wa kike,huwa nawapa tu bila kuomba ili huko Chuo wasinyanyasike.
Nakusubiri Basi.
Kwahiyo na mimi utanipa tu bila kuomba kama dada zako? Na hautoomba si ndio?
 
Kuna manzi niliikwarua majuzi hapo, ile naiomba mtoko mwaka mpya ikanipa invoice za kusuka nywele... sijakaa sawa inasema birthday yake January 9.

Nimeamua kukaa kando hadi birthday ipite kwanza.
unaogopa Rungu la utosi kudakiiiiii
 
Hivi wadada huwa wanafikiria nini kuelezea mashida zao?

Nimekualika tutoke mwaka mpya, twende tukatumie hela zangu... hapo hapo unaanza ooh siwezi kutoka hivi bila kusuka bila gauni jipya!!
 
Back
Top Bottom