Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Hata kama kwa mtu mwenye mshipa wa aibu kuomba hiyo pesa kwa ajili ya kusuka tu ni ngumu.... Ungemwambia atumie yake then utamrudishia, Kuna watu wanadhani wenzao wapo kama atm mashine Muda wowote inatema pesa
Actually hiyo si kubwa ukiwa uko njema but...my concern is timing.
Day one unapata wapi ujasiri wa kujiachia hivyo?
 
Hata kama kwa mtu mwenye mshipa wa aibu kuomba hiyo pesa kwa ajili ya kusuka tu ni ngumu.... Ungemwambia atumie yake then utamrudishia, Kuna watu wanadhani wenzao wapo kama atm mashine Muda wowote inatema pesa
Atm huishiwa pia
 
Sema baadhi, tuheshimu kidogo we jamaa
Kwasasa karibia wote mko hvyo,mpaka huwa tunajiuliza kabla ya kufahamiana na Mimi hapo mwanzo mlikuwa mnatatua vp shda zenu.

Ila nazani wengi wamekuwa hv kama kumfaidi mwanaume kabla hajaachwa,maana anaona hata hasipokuwa ombamba bado ataachwa.kwahyo anakula vyake mapema
 
Tunatoa sana, kuna wanawake wanatia aibu sana.
Kuna binti tulitoka out ikiwa ni mara ya kwanza kuonana ana kwa ana.
Tulipata chakula cha jioni/usiku pamoja sehemu tulivu na bora kabisa.
Tukiwa tunapiga stori za hapa na pale akaanza:
1. Baby baada ya siku mbili ni birthday yangu
Anaomba 200k nikasuke
2. Halafu sina kiatu kizuri.
3. Naomba zawadi isiyopungua 300k
4. Sijui nini nini nini...aghhh

Kwa maoni yangu alipaswa kunipa taarifa then aniachie mimi nijiongeze.
Kwa kifupi nilimuona ni fyatu
Pole sana, shida sio huyo binti, shida ni wewe kurukia rukia mapakashume ambao hawafugiki, mwanamke mwenye akili timamu na maadili hawezi kupata confidence ya kuomba pesa namna hiyo tena on the first day, ukitaka kuenjoy maisha tafuta wa kufanana na wewe bro, hutajuta
 
Pole sana, shida sio huyo binti, shida ni wewe kurukia rukia mapakashume ambao hawafugiki, mwanamke mwenye akili timamu na maadili hawezi kupata confidence ya kuomba pesa namna hiyo tena on the first day, ukitaka kuenjoy maisha tafuta wa kufanana na wewe bro, hutajuta
It takes time kupata mtu sahihi, unaposema nilirukia unakosea.
Kabla hujapata muda wa kusema na mtu huwezi kujua mapungufu yake.
 
Wapo kwa mwamposa kukanyaga mafuta subiri watoke

Ili tubalance hii mada mimi nawashauri pia wanaume wajifunze kutoa hela bila kuombwa
Ni sheria ipi Mkuu wangu inayosema Ni lazima me ampe hela ke.kwa mujibu wa komenti yako.
Wakati wa kutiana si wote huwa tunasikia utamu,Sasa iweje Ni lazima Mimi tu nikupe wewe?
 
Mioyoni mwao baadhi watasikika wakitukana "hovyoo", na kusema"Kanajidai kwa sababu kenyewe kana hela".
 
........ Sikuhizi sio wanawake kuomba pesa tu... Hata wanaume anakukuta leo mchana jioni anakwambia nna nyege Sasa mtu unawaza hizi nyege mbona ghafla namna hii.... Kwa kifupi wote tubadilike tu
Kwasasa karibia wote mko hvyo,mpaka huwa tunajiuliza kabla ya kufahamiana na Mimi hapo mwanzo mlikuwa mnatatua vp shda zenu.

Ila nazani wengi wamekuwa hv kama kumfaidi mwanaume kabla hajaachwa,maana anaona hata hasipokuwa ombamba bado ataachwa.kwahyo anakula vyake mapema
 
Ili nigundue nini?

Ndo wazitoe sasa kabla hatujawaomba.
 
Back
Top Bottom