Inaweza kuwa kweli?
Na wanawake mtuambie ni lini nanyi mtaanza kutupa helaWapo kwa mwamposa kukanyaga mafuta subiri watoke
Ili tubalance hii mada mimi nawashauri pia wanaume wajifunze kutoa hela bila kuombwa![]()
Hapo ni spana tuuKuna manzi niliikwarua majuzi hapo, ile naiomba mtoko mwaka mpya ikanipa invoice za kusuka nywele... sijakaa sawa inasema birthday yake January 9.
Nimeamua kukaa kando hadi birthday ipite kwanza.![]()
Mwache aendelee kujichanganyaKumbe una bashiri?
Miss Reneee asikutishe huyu ni Shekhe Yahaya wa jf tu
Wife matririo.Uvumilivu,adabu/utii/heshima, staha, aibu na utu Ni nguzo muhimu Sana kwa mwanamke kumdhibiti mwanaume yeyote, ijapokuwa wapo wanaume wanaotumia vibaya wanawake wenye vitu hivyo kwa kuwadhalilisha na kuwanyanyasa ama kutowathamini kabisa
Wanaume wanaotafuta mwanamke mwenye vitu hivyo Basi hufanya kila mbinu mpaka ammiliki pasipo kujali hali ya mwanamke husika ama ni single mama, maskini ama hana shule
Rafiki, mumeo kapata kitu bora.Uvumilivu,adabu/utii/heshima, staha, aibu na utu Ni nguzo muhimu Sana kwa mwanamke kumdhibiti mwanaume yeyote, ijapokuwa wapo wanaume wanaotumia vibaya wanawake wenye vitu hivyo kwa kuwadhalilisha na kuwanyanyasa ama kutowathamini kabisa
Wanaume wanaotafuta mwanamke mwenye vitu hivyo Basi hufanya kila mbinu mpaka ammiliki pasipo kujali hali ya mwanamke husika ama ni single mama, maskini ama hana shule
Asante le king mswati, salimia Sana reneee hapi nyu iya kwenu
Shukrani mume boraRafiki, mumeo kapata kitu bora.
@Miss ReneeeAsante le king mswati, salimia Sana reneee hapi nyu iya kwenu
Thanx dear love@Miss Reneee
Pokea salamu mylove
AseeShukrani mume bora
Thanks Dear, Happy New YearAsante le king mswati, salimia Sana reneee hapi nyu iya kwenu
Mume bora anamjua mke aliye boraAsee
AhsanteWapo kwa mwamposa kukanyaga mafuta subiri watoke
Ili tubalance hii mada mimi nawashauri pia wanaume wajifunze kutoa hela bila kuombwa![]()