lafionaposh
Senior Member
- Jul 22, 2015
- 139
- 64
N raha ukiwa na mario unamcontrol
Kumhonga mwanaume ni kipaji
Kabisa siwezi...Huwezi kabisa...???
Si unatafutwa kupandishwa kitonga... Wenye pesa hawana uwezoKumhonga mwanaume ni kipaji
Kabisa siwezi...
Hivi kwa nini wanaume tegemezi kwa jina lingine mario wanapenda sana kulelewa? Halafu sasa kwa kuwa wanajua kabisa hapa ni kupiga kitonga wanakuwaga wajuzi kweli ya ku**mba au lugha nyingine wanajua sana mapenzi kwenye 6x6.
Upande wangu hii tabia siipendi kwa kweli. Yani nianze tu kumpa baby wangu pesa nop raha ya mwanaume akupe, akutunze. Kama wewe mwanamke una hio tabia acha.
Yani kama mlikuwa hamjui, hapo atakutumia weee ukiwa hauna humuoni, atakukimbia kama gari la mwendo kasi.
hahahhaha watu wengine bhana. nani kauliza ijaziwe/.............mba
nimejaza nafasi iliyoachwa wazi.
teh teh tehhahahhaha watu wengine bhana. nani kauliza ijaziwe/
hahahhaha una vijimambo wewe mkuuu kama avanter yako.teh teh teh
huwa nafanyaga kazi ya kujitolea tu mkuu.
Wanapenda kukojozwa utakuta mdada analalamika huko instagram kuhusu bwana wake sasa cku ampate Kijana tena anawesa akawa sio mariioo na anamkojozaa vizur na hela atatoaSi mnapenda kukojozwa mkome,
Acha sisi wazee tuwe watazamaji!
Hivi kwa nini wanaume tegemezi kwa jina lingine mario wanapenda sana kulelewa? Halafu sasa kwa kuwa wanajua kabisa hapa ni kupiga kitonga wanakuwaga wajuzi kweli ya ku**mba au lugha nyingine wanajua sana mapenzi kwenye 6x6.
Upande wangu hii tabia siipendi kwa kweli. Yani nianze tu kumpa baby wangu pesa nop raha ya mwanaume akupe, akutunze. Kama wewe mwanamke una hio tabia acha.
Yani kama mlikuwa hamjui, hapo atakutumia weee ukiwa hauna humuoni, atakukimbia kama gari la mwendo kasi.
I miss youNo one is perfect