Wanawake tu, ndio wajibu swali hili

Tena hakuna kitu kinatibua manesi kama hayo maneno yenu ya kiinglish, we nenda pale utumie hilo neno kompromaizi, utajibeba.
Na utamu zaidi uwe waenda kujifungua mmh! Utajua hata kidengereko kwa sekunde.

Kiukweli, unaishi kutegemeana na mazingira. Uwe unajua haki zako au hujui, ukifika leba muhimbili au mwananyamala utatia adabu, tena bila kuulizwa.

Tatizo letu Watanzania ni hilo, tunakubali ku-compromise haki zetu bila ya sababu za msingi.

Hutakiwi kutibiwa bila kuelewa vizuri unatibiwa nini, dalili, vya kujikinga, na worst case scenario.....you don't know what can save your life.
 
The Boss, Kisheria katika kuandikisha maelezo, Polisi hakuna TAFSIDA kabisa, unaelezea tukio kama lilivyotokea`na natusi unayataja kama yalivyo. Emagine mwanamke kabakwa au kaliwa mande, anatakiwa aelezee kama ilivyo, na ndio maana kesi za aina hiyo zinaendeshwa chamber kwa siri ili kulinda maadili.

Hapana Boss,
Sasa hivi kuna utaratibu maalum kwa kesi kama hizi.Hakuna kuchukua maelezo counter kama kesi zingine na kuna mwongozo wa serikali unapitishwa karibuni kuhusu kushughulikia kesi zote za namna ya kudhalilisha kijinsia ikiwemo hizi za picha za utupu nanyinginezo. Updates zinakuja soon.
 
Huyo ni stahili yake, kwanini ukamvulie nguo mwanamme ambae hujafunga nae ndoa?

Wewe umejibu Ki-Mujahidina zaidi, mie nimeangalia ki uhalisia, ni mabinti wachache sana wenye uwezo wa kusubri hadi ndoa bila kuonjwa.......... kumbuka kuna wale wanaodai kupimana ili kujua kama inalipa wasije kuivaa mikenge........ wenyewe husema hawataki kuuziwa mlio wa mbuzi............
 
wakikupiga dana dana wamekuheshimu, unang'olewa jino bila ganzi.

Baadhi ya Madaktari wa bongo hawajazoea challenge, wakikuona wewe ni pasua kichwa, wanakususa, na huwa wanaambiana, utajikuta unapigwa danadana.................
 
Tena hakuna kitu kinatibua manesi kama hayo maneno yenu ya kiinglish, we nenda pale utumie hilo neno kompromaizi, utajibeba.
Na utamu zaidi uwe waenda kujifungua mmh! Utajua hata kidengereko kwa sekunde.

Kiukweli, unaishi kutegemeana na mazingira. Uwe unajua haki zako au hujui, ukifika leba muhimbili au mwananyamala utatia adabu, tena bila kuulizwa.

Wauguzi na waganga kukosa bedside manners siyo sifa. Ni ujinga. Na ndiyo maana tuko nyuma sana kwenye huduma za wateja kwa sababu ujinga tunaona ni sifa.

Warm bedside manners can go a long ways with regards to the condition of the patient.
 
Kama unataka kujaribu kumfanyia mtu wako ivo, ungejaribu halafu uone atakachokifanya uje uwaambie wenzio hapa na watakoma hata kuthubutu kufikiria kufanya ujinga huo!
Dunia ni nzuri ila wanadamu ndio wabaya kuliko wanyama.

Weka wazi basi, wewe mwenywe umeona wenzio wanavyojikanyaga hapa, hawana hata jibu la yakini....................
 
Duh, hivi bado waishi kitamthilia?
Uswazi tunabanduana mapema kwa raha zetu, maisha yenyewe mafupi waweza subiri ukafa kabla hujaonja uji wa ulezi.

Huyo ni stahili yake, kwanini ukamvulie nguo mwanamme ambae hujafunga nae ndoa?
 
Wauguzi na waganga kukosa bedside manners siyo sifa. Ni ujinga. N ndiyo maana tuko nyuma sana kwenye huduma za wateja.

Warm bedside manners can go a long ways with regards to the condition of the patient.

Anachokieleza Kongosho kina ukweli, ukijifanya bingwa wa kuongea kingereza kwa Ma-Dr. na manesi wetu hawa ninaowajua imekula kwako...................
 
Hapana Boss,
Sasa hivi kuna utaratibu maalum kwa kesi kama hizi.Hakuna kuchukua maelezo counter kama kesi zingine na kuna mwongozo wa serikali unapitishwa karibuni kuhusu kushughulikia kesi zote za namna ya kudhalilisha kijinsia ikiwemo hizi za picha za utupu nanyinginezo. Updates zinakuja soon.

itasaidia aisee
wakiwezesha hayo
but mimi mtu akimbaka ndugu yangu...
hatuendi polisi...never...
lakini atajuta kuzaliwa....'tutamfanyia operesheni ya kiungo chake'....
 
Anachokieleza Kongosho kina ukweli, ukijifanya bingwa wa kuongea kingereza kwa Ma-Dr. na manesi wetu hawa ninaowajua imekula kwako...................

Najua ni kweli na wala sikatai. Ila wakifanyacho ni ujinga. Ingawa pia mtu na wewe kujifanya unachomekea chomekea maneno yako ya Kiingereza kama vile hujui Kiswahili nayo haifai.
 
Duh, hivi bado waishi kitamthilia?
Uswazi tunabanduana mapema kwa raha zetu, maisha yenyewe mafupi waweza subiri ukafa kabla hujaonja uji wa ulezi.

Mwambie huyo, hajui mambo yalivyobadilika, kama anao mabinti waliokwishavunja ungo, asishangae kukuta wesha-onjwa kitambooo......
 
Tena hakuna kitu kinatibua manesi kama hayo maneno yenu ya kiinglish, we nenda pale utumie hilo neno kompromaizi, utajibeba.
Na utamu zaidi uwe waenda kujifungua mmh! Utajua hata kidengereko kwa sekunde.

Kiukweli, unaishi kutegemeana na mazingira. Uwe unajua haki zako au hujui, ukifika leba muhimbili au mwananyamala utatia adabu, tena bila kuulizwa.

Nitaendelea kuishi hivi mpaka huyo nesi atokee "nijibebe". Sijawahi kupata tabu yoyote mpaka muda huu kwa kuuliza masuali kwa wahudumu hospitali wala kwengineko na ninaweza kusema imewahi kunisaidia vikubwa sana

Nilipokuwa 14 hivi nilijichoma na msumari mkononi kwa vile nna "ujuaji" wa kutosha nikasema lazima nikapigwe tetanus shot. Nilipofika nikauliza masuali ya side effects kabla sijachomwa. Nikamlazimisha nurse anichome kidogo kwanza tuangalie kama ina madhara kama sina ndio aendelee. Akasema sina madhara. Ile nafika home tu baada ya kama five minutes nikasema nirudishwe kwa sababu najiskia vibaya japo sikuwa na visible signs. Dakika tano tena baade nafika hospitali, mwili ushakakamaa na kulazimisha nitapishwe na kupigwa sindano na ma-drip ya ku-neutralize

Nashukuru kwa udadisi wangu and my mum for not doubting me when I said I needed to go back to the hospital.

Nitaendelea nao hata pale nitakapo jibeba.
 
Ili muelewane hayo mambo ya manners za pembeni lazima uelewa/uchanganuzi wa mambo uwe unakaribiana.

Hivi unadhani kwa nini watu wengi hasa wenye elimu sec and below wanadhani maprof wamedata? uelewa tofauti, hakuna intersection katika mawazo yao, so kila mtu anamuona mwenzio chizi.

Wauguzi na waganga kukosa bedside manners siyo sifa. Ni ujinga. Na ndiyo maana tuko nyuma sana kwenye huduma za wateja kwa sababu ujinga tunaona ni sifa.

Warm bedside manners can go a long ways with regards to the condition of the patient.
 
Ili muelewane hayo mambo ya manners za pembeni lazima uelewa/uchanganuzi wa mambo uwe unakaribiana.

Hivi unadhani kwa nini watu wengi hasa wenye elimu sec and below wanadhani maprof wamedata? uelewa tofauti, hakuna intersection katika mawazo yao, so kila mtu anamuona mwenzio chizi.

Watu wenye elimu ya upili na chini wanadhani maprofesa wamedata? Hii sijawahi isikia mimi!
 
itasaidia aisee
wakiwezesha hayo
but mimi mtu akimbaka ndugu yangu...
hatuendi polisi...never...
lakini atajuta kuzaliwa....'tutamfanyia operesheni ya kiungo chake'....

Unajua Polisi walisemaje tulipofika`pale kufungua jalada! "Aroo mbona binti mwenyewe ni mkubwa tu, sio kwamba alitaka mwenyewe, asitupotezee muda kufungua kesi wakati alitaka mwenyewe" ilibidi niwatishe kuwa nitaenda kumuona IGP kama watashindwa ku-handle hiyo kesi, wakaogopa.....................
 
Hiyo hospital ilikuwa kwa mnyamani hospito?
Na uelewa wa huyo nurse/daktari ulikuwaje?Na wakati unafika kuchoma ulikuwa wagonjwa wangapi per 1 nurse?


Nitaendelea kuishi hivi mpaka huyo nesi atokee "nijibebe". Sijawahi kupata tabu yoyote mpaka muda huu kwa kuuliza masuali kwa wahudumu hospitali wala kwengineko na ninaweza kusema imewahi kunisaidia vikubwa sana

Nilipokuwa 14 hivi nilijichoma na msumari mkononi kwa vile nna "ujuaji" wa kutosha nikasema lazima nikapigwe tetanus shot. Nilipofika nikauliza masuali ya side effects kabla sijachomwa. Nikamlazimisha nurse anichome kidogo kwanza tuangalie kama ina madhara kama sina ndio aendelee. Akasema sina madhara. Ile nafika home tu baada ya kama five minutes nikasema nirudishwe kwa sababu najiskia vibaya japo sikuwa na visible signs. Dakika tano tena baade nafika hospitali, mwili ushakakamaa na kulazimisha nitapishwe na kupigwa sindano na ma-drip ya ku-neutralize

Nashukuru kwa udadisi wangu and my mum for not doubting me when I said I needed to go back to the hospital.

Nitaendelea nao hata pale nitakapo jibeba.
 
atangaze tu kwani nitakufa kuliko nikae naye anipe AIDs si bora nipate aibu ila najua ctakufa mwe!
tena aibu yenyewe itavuma tu wiki 2 au 3 kwisha litaibuka lengine huko mitandaoni na kufunika langu ila akinipa ukimwi nakufa kabisa loh!
 
Tena kwa tahadhari ya wanaotegemea kujifungulia TZ, ujuaji muuache nyumbani kabla ya kufika hospito. Wana trick zao za kuongeza maumivu like a million time, si private au gov. Labda ukate kitu kidogo basi wahudumia kama yai.
lakini ujuaj??? Maralia hata ukiwa mjuaji haina shida ndo mana nasema ujuaji unategemea na mazingira na uelewa wa mtu unaye-deal naye.

Anachokieleza Kongosho kina ukweli, ukijifanya bingwa wa kuongea kingereza kwa Ma-Dr. na manesi wetu hawa ninaowajua imekula kwako...................
 
Back
Top Bottom