Wanawake this is the harsh reality

Kwa jinsi unavyochangia maada ni wazi kuwa una chembe za kiburi na ushindani katika mahusiano.Mungu hakukosea aliposema Wanawake wawatii waume zao Wakolosai 3:18-19

Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana

Kwanini hakusema enyi wanaume watiini wake zenu badala yake anasema wapendeni wake zenu? Hapana hakusema hivyo kwasababu tangu uumbaji Mwanaume yupo juu ya Mwanamke kiutawala na mwanamke hana budi kuwa mtiifu kwa kichwa cha familia.Kila mmoja ana majukumu yake katika ndoa.Lakini kuwa mtiifu ni jukumu la kwanza kwa mwanamke.
 
Hamna kizazi kibaya kama kitacho kuzwa na Single parent ni kizazi kilichokosa UPENDO na hakijua nini maana au thamani ya FAMILIA.

Sema kama jamii tumechemka kwenye misingi ya ndoa,kila mtu kambale lkn vitabu vya dini vimefafanua vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…