tha lostchild
Member
- Sep 4, 2014
- 12
- 10
Toa hof kaka hayo ni maneno tu.inatgemea kama mkeo mtaani ni mrahis bas safarin hato badilika
Unahalalisha au siyo?
ww mtoa maada mbona unaanza kunipa was was?
Mke wangu yupo safarin tangu juzi na gari liliwaharibikia njian ikabidi atafute gest alale ili kesho yake aendelee....
Hapo unataka kuniambia nn?
Nauliza kujua, kupenda kujua sio kosa.
Inasemekani kuwa mwanamke akiwa katika safari ndefu mfano, Dar to Musoma ni wepesi sana kutongozeka.
Swali: ni kweli? Kwa nini iko ivo?
Dedicated kwa wote wanaojua.
Nasafiri kwa mwezi mara 2 na njiani natumia siku 4 hadi 5 inatemgea na sehemu husika...
NA SIJAWAHI HATA SIKU MOJA KUTONGOZWA NA KULALA NA MTU NJIANI.
Utakuwa huna mvuto, ndo maana hawahangaiki na wewe
form six ametoka kumaliza chuo???, usitudanganye hapa
Nadhani hii ina nafuu,mimi sichagui seat nakaa na yeyote anayeasafiri na nakuwa poa tu ila siku moja nilikaa na bibi mzee,yaani balaa lake lilikuwa anatema mate ndani ya basi na niliona kumwambia itakuwa kama nimemnyanyasa kwa kuwa siku moja nami nitazeeka.Bahati nzuri safari ilikuwa ya karibu.Ukikaa na mwenye mtoto msaidie maana kama wewe siyo mzazi basi siku moja utakuwa mzazi.Mimi nina bahati mbaya aise!!.
Mara nyingi huwa naenda kukata tiket kabla ya kuchagua siti naangalia zile zilizobukiwa tayari naangalia majina kiwizi wizi, nikikuta jina la kike basi nachagua hapo hapo. Asubuhi nakuja stendi kupanda kwenye gari nakuta mama mwenye mtoto na mazaga zaga mpaka nachoka aisee. Imeshanitokea zaidi ya mara nne.
Sirudii tena, nitakuwa napanda tuu
form six ametoka kumaliza chuo???, usitudanganye hapa
Utakuwa huna mvuto, ndo maana hawahangaiki na wewe
Ongera sana,lkn nina swali au kwa kuwa unapenda vibamia unaogopa kukutana na mandingo?
nisije nikakupongeza bure kumbe ni hofu ya mandingo.Maana kuna mawili au umeokoka au unaogopa mandingo na magonjwa.
Nasema hivi kuna siku uliwahi post kuwa wewe ni timu kibamia,nikaunganisha hapo kwamba huenda unaogopa kukutana na mandingo wakakuumiza,pili labda umeokoka na hivyo kuwa unamwogopa Mungu ndo maana ukisafiri unafika na kurudi bila kuguswa.nadhani hapo umeelewa.Sijaelewa
Si kweli.
Speaking for myself.
Labda kwa wasiojitambua. Huwezi kuwa safarini unatongozwa na kukubali hovyo.
Ni kweli wapo wanaokubali haraka lakini hufanya hivyo akijua anchokifanya, baada ya kukubaliwa kazi ni kwako kununua, soda, maji, chips na mahitaji mengine, mkifika kituoni yeye hashuki anakwambia njoo na chips, kuku na coke lakini pesa hakupatii, atakwambia anaishia Mwanza kumbe anaenda Tarime, mkifika Nyakato wewe unashuka yeye anapitiliza kwenda Buzuruga na kukubaliana kuwa kesho mtafutane atakuwa Mwanza, ukimpigia kesho yake kama mlivyokubaliana anakwambia tayari keshafika Nyamongo, Dar alikuwa ameenda kumsalimia kaka Lugalo, ukimwuliza mtaoanana lini anakwambia hajui ni lini. Na mwingine unaweza kuwa umegharimikia njia nzima, mikifika stand tu, unaona anapokelewa, kukumbatiwa na kupigwa mabusu makali na Jemba fualani hivi, mara haooooooooooooooo kwenye Harrer na wewe unabaki kuuliza nauli ya Bodaboda !!!!