Wanawake safarini hawajui kukataa

Wanawake safarini hawajui kukataa

Mwanamke yeyote tu, ok ngoja nianze kumlia timing Salma Kikwete.

Akisafiri peke ake tuu, we Fanya yako. Ila km tetesi za babu seya ni za kweli.... Sikushauri kutunisha misuli yako pale
 
Hii ina ukweli, nimewahi kujaribu mara mbili na zote nilifanikiwa!
 
Wewe unamuona kama mwanamke vile....kumbe huwa ni mfanyabiashara pale corner bar.
 
hivi jf haina jinsi ya kubaini exactly umri wa member wake, maana hivi vitoto visumbufu
 
Nauliza kujua, kupenda kujua sio kosa.
Inasemekani kuwa mwanamke akiwa ktk safari ndefu mf. Dar to Musoma ni wepesi sana kutongozeka.
Swali: ni kweli? Kwa nini iko ivo?
Dedicated kwa wote wanaojua.

Si kweli.
Speaking for myself.

Labda kwa wasiojitambua. Huwezi kuwa safarini unatongozwa na kukubali hovyo.
 
Pole kaka, mpigie Mara kwa Mara. Kama ana smart phone na hana battery bank unalo. Next tym mnunulie awe nayo asiwe na sababu ya chaji imeisha

hahahaaa! Mkuu yote hayo ya nn?
Hivi unafikir unaweza kumzuia mwanamke asichapwe?
Mtu mzima akiamua kufanya jambo hakuna atakae mzuia...
Ngoja namm nikajiliwaze kwa Khantwe
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa! Mkuu yote hayo ya nn?
Hivi unafikir unaweza kumzuia mwanamke asichapwe?
Mtu mzima akiamua kufanya jambo hakuna atakae mzuia...
Ngoja namm nikajiliwaze kwa Khantwe

Yan mi nlikuwa najifaragua nikijua mi ndo njia kuu kumbe kipoozeo...!
 
Last edited by a moderator:
ww mtoa maada mbona unaanza kunipa was was?
Mke wangu yupo safarin tangu juzi na gari liliwaharibikia njian ikabidi atafute gest alale ili kesho yake aendelee....

Hapo unataka kuniambia nn?

aisee gari liliwaharibikia???????mmmmh
 
Umeshaconclude tujadili nin tena?una mama una dada kawaulize kwa nini wakisafiri wanatongozeka kirahisi.
Hapana, mwanamke yeyote tuu. Hata kama ana Mme ila kasafir peke ake.
 
Siku za mwisho wa dunia,kuna kizazi cha zinaa kama wanyama pori; na kisicho mwamini Mungu; kama alivyotabiri Bwana Yesu.
 
Yan mi nlikuwa najifaragua nikijua mi ndo njia kuu kumbe kipoozeo...!

ww ndio njia kuu,, ila nilitaka nijue mitazamo ya watu...
Yaan kuna baadhi ya wanaume wanawaza ngono tu. Hivi kwa mitazamo hii tutafika kweli?
 
Back
Top Bottom