Wakishafika hawatongozeki
Limemgusa, ni kawaida. Ndio maana sikumjibu huyo
Kweli limenigusa, maana ni juzi tu shoga yangu mama Payer kanisimulia yaliyojiri kwenye safari yake ya kutoka Njombe to Arusha. Ndio maana nikakushauri umuulize akusimulie in details jinsi alivyotongozeka.
Kumbe nawe kikongwe! Mama angu hajui jf wala fb. Mnafahamiana?
yaani ni mchele mchele.ukikaa naye siti moja ktk basi moja kwa safari ndefu ya kutoka dar kwenda kwa mfn mbeya,bukoba,mwanza nk,ukimtongoza tu,kabla hata hamjafika morogoro tayari kitu kimeshaeleweka.ila tu jiandae kubeba jukumu la kumnunulia "tuvyakula" njiani.
wote wanawake.....utajijuuuuuwanaofanya biashara Corner bar sio wanawake???mwanamke ni nani na mfanyabiashara corner bar ni yupi?
Ongera sana,lkn nina swali au kwa kuwa unapenda vibamia unaogopa kukutana na mandingo?Nasafiri kwa mwezi mara 2 na njiani natumia siku 4 hadi 5 inatemgea na sehemu husika...
NA SIJAWAHI HATA SIKU MOJA KUTONGOZWA NA KULALA NA MTU NJIANI.
Nauliza kujua, kupenda kujua sio kosa.
Inasemekani kuwa mwanamke akiwa katika safari ndefu mfano, Dar to Musoma ni wepesi sana kutongozeka.
Swali: ni kweli? Kwa nini iko ivo?
Dedicated kwa wote wanaojua.
Ni kweli wapo wanaokubali haraka lakini hufanya hivyo akijua anchokifanya, baada ya kukubaliwa kazi ni kwako kununua, soda, maji, chips na mahitaji mengine, mkifika kituoni yeye hashuki anakwambia njoo na chips, kuku na coke lakini pesa hakupatii, atakwambia anaishia Mwanza kumbe anaenda Tarime, mkifika Nyakato wewe unashuka yeye anapitiliza kwenda Buzuruga na kukubaliana kuwa kesho mtafutane atakuwa Mwanza, ukimpigia kesho yake kama mlivyokubaliana anakwambia tayari keshafika Nyamongo, Dar alikuwa ameenda kumsalimia kaka Lugalo, ukimwuliza mtaoanana lini anakwambia hajui ni lini. Na mwingine unaweza kuwa umegharimikia njia nzima, mikifika stand tu, unaona anapokelewa, kukumbatiwa na kupigwa mabusu makali na Jemba fualani hivi, mara haooooooooooooooo kwenye Harrer na wewe unabaki kuuliza nauli ya Bodaboda !!!!
Ni kweli wapo wanaokubali haraka lakini hufanya hivyo akijua anchokifanya, baada ya kukubaliwa kazi ni kwako kununua, soda, maji, chips na mahitaji mengine, mkifika kituoni yeye hashuki anakwambia njoo na chips, kuku na coke lakini pesa hakupatii, atakwambia anaishia Mwanza kumbe anaenda Tarime, mkifika Nyakato wewe unashuka yeye anapitiliza kwenda Buzuruga na kukubaliana kuwa kesho mtafutane atakuwa Mwanza, ukimpigia kesho yake kama mlivyokubaliana anakwambia tayari keshafika Nyamongo, Dar alikuwa ameenda kumsalimia kaka Lugalo, ukimwuliza mtaoanana lini anakwambia hajui ni lini. Na mwingine unaweza kuwa umegharimikia njia nzima, mikifika stand tu, unaona anapokelewa, kukumbatiwa na kupigwa mabusu makali na Jemba fualani hivi, mara haooooooooooooooo kwenye Harrer na wewe unabaki kuuliza nauli ya Bodaboda !!!!