Wanawake safarini hawajui kukataa

Wanawake safarini hawajui kukataa

ww mtoa maada mbona unaanza kunipa was was?
Mke wangu yupo safarin tangu juzi na gari liliwaharibikia njian ikabidi atafute gest alale ili kesho yake aendelee....

Hapo unataka kuniambia nn?

Ukikutana na manyoya?.............
 
Kwani wanajitongoza au wanatongozwa?????? Na watongozaji je, ni maharage ya wapi????????
 
wanawake wanaonewa na mengiiiii looooh.......kwa wanaume je......
 
Mie mke wangu hata nimwache katikati ya mabazazi sita...hawapati kitu...oa mdada anayejielewa na kijiheshimu
 
Kwani wanajitongoza au wanatongozwa?????? Na watongozaji je, ni maharage ya wapi????????
watongozaji wao ni kuni.siyo maharage
kuni zinapimwa kwa uwezo wake wa kutoa joto
 
hii kitu ni kweli kabisa,mtu unaweza kufanya majaribio.
 
aiseee.... Kwahyo ww unafikir wanawake wote wanaokuwa safarini wagegedwa tu.
Hivi kwa mitazamo hii tutajenga familia kweli?

mgiriki kwanini umepatwa na wasiwasi??? Kama hukua na hisia za kugegedwa kwa mkeo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom