Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,105
- 4,583
Wanawake wengi wa kibongo wanaishi maisha fake.
ur ryt mkuu.!
Wanawake wengi wa kibongo wanaishi maisha fake.
Sasa huyu tunayemuongela hapa ufeki wake ni upi? Chipsi kuku ama njaa?Wanawake wengi wa kibongo wanaishi maisha fake.
Unampigia simu demu wako mida ya saa tisa, anatoka nyumbani mpaka sehemu ulipo. Anaagiza kinywaji na kumuita mhudumu wa jikoni, niletee kuku nusu na chips. Wewe umetoka nyumbani hujala huko? Unajua nina bei gani mfukoni? Kuweni wastaarabu.
Unampigia simu demu wako mida ya saa tisa, anatoka nyumbani mpaka sehemu ulipo. Anaagiza kinywaji na kumuita mhudumu wa jikoni, niletee kuku nusu na chips. Wewe umetoka nyumbani hujala huko? Unajua nina bei gani mfukoni? Kuweni wastaarabu.
Mi nimejiuliza tu, kama huna kitu mfukoni umemwitia nini binti wa watu kwenye kiota cha makulaji na manywaji??Duh watanzania tumefikia hatua ya kupigia hesabu ya chakula? Jamani ni kinyesi tu hicho mwisho wa siku.
Mi nimejiuliza tu, kama huna kitu mfukoni umemwitia nini binti wa watu kwenye kiota cha makulaji na manywaji??