Wanawake ni waroho sana au wanakomoa?

Wanawake ni waroho sana au wanakomoa?

Unampigia simu demu wako mida ya saa tisa, anatoka nyumbani mpaka sehemu ulipo. Anaagiza kinywaji na kumuita mhudumu wa jikoni, niletee kuku nusu na chips. Wewe umetoka nyumbani hujala huko? Unajua nina bei gani mfukoni? Kuweni wastaarabu.

Ulimuuliza lakini kama anakukomoa au mroho??? na kama huna hela si ungemwambia huna hela? kwanini usiwe mkweli hata kama unaonekana huna/hutaki?
 
Hahahahaha
kwa nini usimwambie huwezo wa mfuko wako? Unamuogopa? Utamuogopa mpaka lini?

Unampigia simu demu wako mida ya saa tisa, anatoka nyumbani mpaka sehemu ulipo. Anaagiza kinywaji na kumuita mhudumu wa jikoni, niletee kuku nusu na chips. Wewe umetoka nyumbani hujala huko? Unajua nina bei gani mfukoni? Kuweni wastaarabu.
 
Huyo nae ni mmojawapo mwenye tabia hiyo
Aaaah, kudadadeki, mimi akiagiza mi waini sijui midude gani at ze end of ze dei namwambia alipe mwenyewe, ei, mi sijajenga afu uniletee mi garama ya kijingajinga, itakula kwako.
 
Mmh... Lazima ale ashibe..!! Anajiweka sawa, maana baada ya hapo anajua ni game ya kufa mtu.!

kama ingekuwa hvyo bas mwanaume ndo angekula sana,maana robo tatu ya shughuli nzito inafanya na mwanaume
 
Kama ni demu wako sema nae taratibu
 
Dah! Wanakela xn pia si kwamba enti wanakomoa ila nitabia ya mtu ukilinganisha na uhusiano wao.
 
Unamuita baa ili iweje kama siyo kula na kunywa? Acha ubahili kk.
 
Unampigia simu demu wako mida ya saa tisa, anatoka nyumbani mpaka sehemu ulipo. Anaagiza kinywaji na kumuita mhudumu wa jikoni, niletee kuku nusu na chips. Wewe umetoka nyumbani hujala huko? Unajua nina bei gani mfukoni? Kuweni wastaarabu.
njaa zinawaua dada zetu
 
Duh watanzania tumefikia hatua ya kupigia hesabu ya chakula? Jamani ni kinyesi tu hicho mwisho wa siku.
kama ww mroho wa viepe uje kwangu utakula utashiba mpaka utavimbirwa upo tayari
 
Unampigia simu demu wako mida ya saa tisa, anatoka nyumbani mpaka sehemu ulipo. Anaagiza kinywaji na kumuita mhudumu wa jikoni, niletee kuku nusu na chips. Wewe umetoka nyumbani hujala huko? Unajua nina bei gani mfukoni? Kuweni wastaarabu.
tena hawamalizi wakiagiza hapo ndipo nisipopapenda
 
mTAKA CHA UVUNGUNI SHARTI AINAME, KAMA UMEZOEA VYA BURE TULIZANA HAYA YOTE HAYATAKUPATA.
 
Back
Top Bottom