Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu wa kiume wa miezi 6 akilia.
Dada wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza akamwimbia hakunyamaza akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto mwanangu akanyamaza pale pale akiwa
anamnyonyesha mimi nikaingia nikamuwakia dada.
" Unataka kumuambukiza mtoto magonjwa? "Hapana baba hayatoi maziwa mimi nimempa tu anyamaze!!" . " kweli hayatoi?" nikaamua kuthibitisha nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ni kweli hayatoi.
Hebu hilo lingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi wa nililolikuta hakuamini hebu niambieni wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa? Wanawake acheni hizo!