Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,129
- 8,378
Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa.Mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu Wa kiume Wa miezi 6 akilia mnooo. Dada Wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza. Akamwimbia hakunyamaza.
Akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto.Mwanangu akanyamaza pale pale. Akiwa anamnyonyesha Mimi nikaingia. Nikamuwakia dada. " unataka kumuambukiza mtoto magonjwa? . "Hapana baba hayatoi maziwa Mimi nimempa tu anyamaze!!" Kweli hayatoi?".
Nikaamua kuthibitisha. Nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ahaa kweli hayatoi. Hebu hilo lingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia.nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi Wa nililolikuta. Hakuamini.
Hebu niambieni. Wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa?
Wanawake acheni hizo!
Akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto.Mwanangu akanyamaza pale pale. Akiwa anamnyonyesha Mimi nikaingia. Nikamuwakia dada. " unataka kumuambukiza mtoto magonjwa? . "Hapana baba hayatoi maziwa Mimi nimempa tu anyamaze!!" Kweli hayatoi?".
Nikaamua kuthibitisha. Nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ahaa kweli hayatoi. Hebu hilo lingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia.nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi Wa nililolikuta. Hakuamini.
Hebu niambieni. Wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa?
Wanawake acheni hizo!