Mfyatuaji
Senior Member
- Sep 6, 2016
- 101
- 84
Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu wa kiume wa miezi 6 akilia.
Dada wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza akamwimbia hakunyamaza akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto mwanangu akanyamaza pale pale akiwa
anamnyonyesha mimi nikaingia nikamuwakia dada.
" Unataka kumuambukiza mtoto magonjwa? "Hapana baba hayatoi maziwa mimi nimempa tu anyamaze!!" . " kweli hayatoi?" nikaamua kuthibitisha nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ni kweli hayatoi.
Hebu hilo lingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi wa nililolikuta hakuamini hebu niambieni wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa? Wanawake acheni hizo!
Dada wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza akamwimbia hakunyamaza akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto mwanangu akanyamaza pale pale akiwa
anamnyonyesha mimi nikaingia nikamuwakia dada.
" Unataka kumuambukiza mtoto magonjwa? "Hapana baba hayatoi maziwa mimi nimempa tu anyamaze!!" . " kweli hayatoi?" nikaamua kuthibitisha nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ni kweli hayatoi.
Hebu hilo lingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi wa nililolikuta hakuamini hebu niambieni wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa? Wanawake acheni hizo!