Wanawake ni kiboko aisee

Wanawake ni kiboko aisee

Umaskini ni adui wa maisha ila nature lazima ichukue nafasi yake kumbuka
Juzi nili msaidia mtu kiasi Fulani cha pesa .

Alikua afedheheke mbele ya umatii nilikua mitungi kiasi Mimi si nikasahau jamaa Jana ananikumbushaa.. akashukuru. Sanaa mpaka nikashangaa

Nikakumbuka wengine wanapesa kwenda ulaya au American ni kama wewe na Mimi izii buku mbili mbili zetu..

Ukiona mke ana lalamikia ELFU MBILI 🥺 ni majanga zaidii ya snura MUSHII
 
Mwanamke akipekuwa mazaga ya mme wake, hapo ni mwili mmoja na mwanaume akipekuwa mazaga ya mkewe,ana makosa kwa sababu hajaomba ridhaa yake,weseeeeengee nyie,ma*aee zenu mnatoa hzo comment za ki choko
 
Habari za asubuhi wazee,

Niende kwenye mada mojamoja jana usiku nimerudi home sielewi lile wala hili mfukoni sina kitu si nikaona ebu nichukue buku mbili kwenye mkoba wa wife, nikanunua maji na energy drink, ili nicheki mpira (kombe la dunia fresh).

Aisee kumbe nimefanya bonge la mistake, ile mbaya, asubuhi imefika tu ile naamashwa na wife kuulizia buku mbili yake na ugomvi juu, hawa viumbe na hela achana nao kabisa.
Ahahaha
 
Kaka kama hujaoa kaka tafakari mara mbili ,nasema ukweli ,kwenye uchumba ni malaika hata wanaweza kukaa miaka miaka mitano kimya sasa weka ndani ndio utajua ndoa ni ndoano,wanje ni nje na wandani ni ndani
Sijaoa? bado mmoja nikamilishe wanne, ukweli mchungu mnaishi na vituko ndani na sio mke.
 
Juzi nili msaidia mtu kiasi Fulani cha pesa .

Alikua afedheheke mbele ya umatii nilikua mitungi kiasi Mimi si nikasahau jamaa Jana ananikumbushaa.. akashukuru. Sanaa mpaka nikashangaa

Nikakumbuka wengine wanapesa kwenda ulaya au American ni kama wewe na Mimi izii buku mbili mbili zetu..

Ukiona mke ana lalamikia ELFU MBILI 🥺 ni majanga zaidii ya snura MUSHII
Nauliza ni mkewangu tu au wanawake karibia wote wanahizi tabia?
 
Habari za asubuhi wazee,

Niende kwenye mada mojamoja jana usiku nimerudi home sielewi lile wala hili mfukoni sina kitu si nikaona ebu nichukue buku mbili kwenye mkoba wa wife, nikanunua maji na energy drink, ili nicheki mpira (kombe la dunia fresh).

Aisee kumbe nimefanya bonge la mistake, ile mbaya, asubuhi imefika tu ile naamashwa na wife kuulizia buku mbili yake na ugomvi juu, hawa viumbe na hela achana nao kabisa.
Dizaini T. kama sio T, Acha kupekua mikoba ya wamama. la mwisho japo si kwa umuhimu, jitahidi kuja vikaoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom