Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 19,888
- 40,977
Juzi nili msaidia mtu kiasi Fulani cha pesa .Umaskini ni adui wa maisha ila nature lazima ichukue nafasi yake kumbuka
Alikua afedheheke mbele ya umatii nilikua mitungi kiasi Mimi si nikasahau jamaa Jana ananikumbushaa.. akashukuru. Sanaa mpaka nikashangaa
Nikakumbuka wengine wanapesa kwenda ulaya au American ni kama wewe na Mimi izii buku mbili mbili zetu..
Ukiona mke ana lalamikia ELFU MBILI 🥺 ni majanga zaidii ya snura MUSHII