Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,040
- 68,191
Braza ulifanya makosa makubwa Sana ambayo hapa wahuni wengi hawatakuambiaHabari za asubuhi wazee,
Niende kwenye mada mojamoja jana usiku nimerudi home sielewi lile wala hili mfukoni sina kitu si nikaona ebu nichukue buku mbili kwenye mkoba wa wife, nikanunua maji na energy drink, ili nicheki mpira (kombe la dunia fresh).
Aisee kumbe nimefanya bonge la mistake, ile mbaya, asubuhi imefika tu ile naamashwa na wife kuulizia buku mbili yake na ugomvi juu, hawa viumbe na hela achana nao kabisa.
1. Kwanza kwa nini uchukue bila kuomba au kutoa taaaarifa? Ulijua alipanga kutumia vipi? Kama akijipa sabuni au chumvi ili akalipe huoni umemtia hasara?
2. Wewe Mwenyewe Umerudi usiku huna hata Mia, lakini kwa ubinafsi wako ukaoni uchukue 2k kwenye Mjomba ili unywe maji baridi na energy huku unaburudika na soka. Huo ni ubinafsi kujijali.
3. Umerudi uko kappa mfukoni ,mwenzako kaweka akina ya Dagaa siku inayofuata ili watoto wake hapo ugali huoni umefanya kosa kubwa?
Yote kwa Yote ungemuomba asingekunyima pamoja na kuwa mnaukata wa fedha kwa sasa