M CM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 2,498
- 1,482
kwa mfano mimi unaweza ukahisi ni jinsia gani??
Lygwanaan
kwa mfano mimi unaweza ukahisi ni jinsia gani??
Haa haaaa! miss chagga bhaana! Ningeshangaa km nisingeona mchango wako hapa!Utakuwa unarusha ndoani kwenye maji mafupi .. Embu rusha tena
Huwa una maakili, lakini basi tu.pesa sio kila kitu TRUST ME hapa jf tinaongea tu ila tukitoka hapa na kujifungia chumbani wenyewe tunasema mioyoni mwetu mwanaume tumtakae na pesa huwa haipo kwenye listndo nakwambia sasajitathmini
Haa haaaa! miss chagga bhaana! Ningeshangaa km nisingeona mchango wako hapa!
Ha haaa! Wala sijakuwinda ila najua thread zako ambazo kwa vyovyote lazima uweke maoni yako!ha ha haha mkuu unaniwinda ,, mimi nitakuvua
Ha haaa! Wala sijakuwinda ila najua thread zako ambazo kwa vyovyote lazima uweke maoni yako!
mimi sio Ke
hii
Jibu ni hapani UZINZI ni tendo la mwenye ndoa nje ya ndoa yake
UASHERAI ni tendo la asiye na ndoa......
Hapo kiroho safi
muombe Mungu akupe mke achana na uasherati.......
Angalia kamusi yako kwani biblia imetafsiriwa hivyo inaweza kukinzana na kiswahili chenyewe.mkuu Bible imeandika mtu asimuache mkewe isipokuwa kwa UASHERATI, sasa mtu ambaye hana ndoa anakuwaje na mke?
Kila siku naona mijadala humu kwamba heshima pesa, shikamoo makelee, pia mnasema kama huna pesa wanawake wakali utaishia kuwaita shemeji tu.
Mimi nina kila kitu lakini wanawake wakali, wenye shape za hatari, walioumbika kwa ile namba 8, waliojaliwa neema za allah kila nikiwatupia ndoano wanatema.
Nini tatizo ili nijipime?
Kila siku naona mijadala humu kwamba heshima pesa, shikamoo makelee, pia mnasema kama huna pesa wanawake wakali utaishia kuwaita shemeji tu.
Mimi nina kila kitu lakini wanawake wakali, wenye shape za hatari, walioumbika kwa ile namba 8, waliojaliwa neema za allah kila nikiwatupia ndoano wanatema.
Nini tatizo ili nijipime?
vipi Apologise?