Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
kwa mfano mimi unaweza ukahisi ni jinsia gani??
ID na Avatar yako pamoja na michango yako mingi ni dhahiri wewe ni KE. Au?
kwa mfano mimi unaweza ukahisi ni jinsia gani??
Mwenyeezi Mungu anakuepusha na uzinzi wewe unashangaa. Soma:
1 Wakorintho 6
8 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
9 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
kwani uzinzi ndio uasherati??
ID na Avatar yako pamoja na michango yako mingi ni dhahiri wewe ni KE. Au?
nimekupenda bure masai dada umesema kweli tupupesa sio kila kitu
trust me hapa jf tinaongea tu ila tukitoka hapa na kujifungia chumbani wenyewe tunasema mioyoni mwetu mwanaume tumtakae na pesa huwa haipo kwenye list
ndo nakwambia sasa
jitathmini
kwa mfano mimi unaweza ukahisi ni jinsia gani??
itakuwa mkuu.
Kila siku naona mijadala humu kwamba heshima pesa, shikamoo makelee, pia mnasema kama huna pesa wanawake wakali utaishia kuwaita shemeji tu.
Mimi nina kila kitu lakini wanawake wakali, wenye shape za hatari, walioumbika kwa ile namba 8, waliojaliwa neema za allah kila nikiwatupia ndoano wanatema.
Nini tatizo ili nijipime?
Utakuwa unarusha ndoani kwenye maji mafupi .. Embu rusha tena
Mkuu bado umelala?
tatizo nikiwa na wa hivyo bado nitaendelea kutamani wa nje.
Kila siku naona mijadala humu kwamba heshima pesa, shikamoo makelee, pia mnasema kama huna pesa wanawake wakali utaishia kuwaita shemeji tu.
Mimi nina kila kitu lakini wanawake wakali, wenye shape za hatari, walioumbika kwa ile namba 8, waliojaliwa neema za allah kila nikiwatupia ndoano wanatema.
Nini tatizo ili nijipime?