BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 921
- 2,244
Ishu wala sio bikira...ishu ni bond mlojenga...!!watu wanakutana bila bikira na bado wanapeana hata km dem akiolewa
Wanawake wengi huishi kwa kufananisha...hua wanatak mtu zaid ya ex wake....!!so pungufu ht moja kwenye uhusiano litamfanya akumbuke mtu mwingine bila kujal alimbikir au lah
Hawa watu hawajawah kuelewek ht mara moja...na ubaya pia hakuna alokamilika....!!sasa hapo mduara wa usaliti hautaisha
Wanawake wengi huishi kwa kufananisha...hua wanatak mtu zaid ya ex wake....!!so pungufu ht moja kwenye uhusiano litamfanya akumbuke mtu mwingine bila kujal alimbikir au lah
Hawa watu hawajawah kuelewek ht mara moja...na ubaya pia hakuna alokamilika....!!sasa hapo mduara wa usaliti hautaisha