Wanawake na vitambi

Wanawake na vitambi

Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia.

Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.

Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?

Yaani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi.

Hii ni hatari kwa kweli.

wee naona ulikuwa unatafuta mchumba ndo maana ukaona wanawake tu. KWA UFUPI SAHVI VITAMBI NI TATIZO KWA VIJANA WOTE VIJANA WAKIUME SIKU HIZI WANAHEMEA JUJUU VITAMBI NA HAWAJAOA WALA KUOLEWA
 
Wanataka wawe sawa na wanaume ndevu, vitambi na vipara vitakuja tuu.!
 
"Everyone has beauty but not everyone sees it!" Kwangu mimi kitambi kwa mwanamke ni mvuto wa haja saana kwangu. Thats me myn!!
 
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.

Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.

Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!

Teh teh teh!


hehehehehe.... umenifurahisha sana ...
 
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.

Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.

Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!

Teh teh teh!



mkuu kama huyu

10703641_841187202571636_4543379929508068779_n.jpg

 
Wagumu kuelewa hao.
Yaani binadamu ukiwaambia ukweli mchungu ni vigumu sana kukuelewa zaidi watataka kubishana na wewe tu ila wanajua ni kweli wanakera na matumbo yao, sisi wengine flat afu unakuta msichana au mkeo ana tumbo kubwa na hajazaa wala hana mimba
 
Duuuh ngoja nifanye maarifa nipunguze hiki kitambi....
 
samahani ila kuna wanaume kama mimi tunavutiwa sana na vitambi vya wanawake
 
Hahahaaaaaaa!! Yn apa nipo kwenye jumba la pantoni sikujua kua tunakaguliwa lol!!
 
Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia.

Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.

Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?

Yaani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi.


Hii ni hatari kwa kweli.
Pole yao
 
Cha ajabu zaidi wakibeba mimba hutojua, utakuja kuona ana mtoto tu. Wanawake wa zamani mimba zilionekana ila hawa wa kisasa mimba hazionekani kutokana na vitambi vyao
 
Kuna uzi mwingine upo wa vitambi vya wanawake, wanajitetea sana kuwa na vitambi na wanavisifia
 
Huu uzi uunganishwe na ule mwingine wa vitambi vya wanawake unafanana maudhui
 
Back
Top Bottom