miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
pm nikufundishe very easy and practical
Hilo nalo linahitaji pm???
pm nikufundishe very easy and practical
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.
Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.
Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!
Teh teh teh!
offer za kitimoto na savanna!!! siku hizi wanamaliza kilo nzima na ugali, sijui wanamkomesha nani..
pm nikufundishe very easy and practical
pesa pesa na soon tutaota vipara....!!!
Pesa zenu binafsi au za wafadhili?!
Kweli aisee kuna siku nilimpa ofa binti mmoja nikamuuliza kwanza unakula kiasi gani akaniambia kilo moja inatosha....duuh mbona nilichoka
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.
Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.
Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!
Teh teh teh!
Unajifarij kwa kauli za kujihakiki bt inside you hukipend na unataman mno kukitoa sema tu mission impossible...bt kiukweli kinakukera na kukuondolea kujiamin