Wanawake na vitambi

Wanawake na vitambi

Duh......mkuu hii sasa kali...hapo kwenye lijitambi ndo kuna kila kitu.....!!kifua hapo hapo...mgongo hapo hapo....kalio hapo hapo, basi sio ajabu na mapaja yakawa hapo hapo

Doooh sasa kama kiroba cha pumba kimesimamishwa.
 
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.

Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.

Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!

Teh teh teh!

Hahaa asee kali hii
 
Nafurahi kuwa na kitambi

Utafiti mpya wa kisayansi unasema kuongezeka uzito na kuwa na kitambi kwa mwanamke kunapelekea uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya matiti. Wewe endelea kunenepeana.
 
Utafiti mpya wa kisayansi unasema kuongezeka uzito na kuwa na kitambi kwa mwanamke kunapelekea uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya matiti. Wewe endelea kunenepeana.

niache ninenepeana na enjoy kuwa mnene hio saratani ipo tu hata kwa vimbau mbau
 
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.

Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.

Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!

Teh teh teh!

Hahahaha!!Duh!!Kazi kweli kweli!!
 
Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia.

Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.

Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?

Yaani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi.

Hii ni hatari kwa kweli.

Ukimuona mwanamke anakitambi ujue hajipendi alafu pili ni mlafi!
 
niache ninenepeana na enjoy kuwa mnene hio saratani ipo tu hata kwa vimbau mbau

Ni sawa na kusema ukimwi upo tu hata kwa wasio na wapenzi kwa hiyo ni ruksa kungonoka utakavyo.
 
Sipendi kitambi ,iwe anacho mwanamke au mwanaume.
Ila kwa wanawake hatuna jinsi ndiyo wamejazana wenye vitambi ndiyo hao hao inabidi kuwatusua tu.
 
Wengine hawakuweza kufunga matumbo baada ya uzazi
 
Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia.

Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.

Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?

Yaani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi.

Hii ni hatari kwa kweli.




Kwa kweli hata mimi hii uwa inanishinda kuamini. Kwa nini kina dada mnaendekeza vitambi? Mtu bado kijana na haujazaa unakuta ana mtambi dizaini ya Le Mutuz, je ukishika ujauzito si utamfukuza mumeo nyumbani? Kwa kweli inaudhi sana, utaona demu mzuri kakaa shida inakuja pale anaposimama....hamu yote ya kuendelea kuongea naye inakwisha. Inakera sana.
 
Back
Top Bottom