Duh......mkuu hii sasa kali...hapo kwenye lijitambi ndo kuna kila kitu.....!!kifua hapo hapo...mgongo hapo hapo....kalio hapo hapo, basi sio ajabu na mapaja yakawa hapo hapo
Doooh sasa kama kiroba cha pumba kimesimamishwa.
Duh......mkuu hii sasa kali...hapo kwenye lijitambi ndo kuna kila kitu.....!!kifua hapo hapo...mgongo hapo hapo....kalio hapo hapo, basi sio ajabu na mapaja yakawa hapo hapo
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.
Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.
Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!
Teh teh teh!
Utafiti mpya wa kisayansi unasema kuongezeka uzito na kuwa na kitambi kwa mwanamke kunapelekea uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya matiti. Wewe endelea kunenepeana.
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.
Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.
Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!
Teh teh teh!
Doooh sasa kama kiroba cha pumba kimesimamishwa.
vyovyote ilmradi zinatuotesha vitambi....
Ata uku kwetu mwanza wapo wengi wao ni matumbo ya mabalimi extra lager.
Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia.
Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.
Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?
Yaani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi.
Hii ni hatari kwa kweli.
Mie nnacho.....sijui nitakipunguzaje??
offer za kitimoto na savanna!!! siku hizi wanamaliza kilo nzima na ugali, sijui wanamkomesha nani..
Kilo nzima na Ugali???
Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia.
Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.
Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?
Yaani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi.
Hii ni hatari kwa kweli.