Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,723
- 126,577
Usijali my sweetheart utapona hivi pundeNaendelea vizuri kidogo yahabibi
Usijali my sweetheart utapona hivi pundeNaendelea vizuri kidogo yahabibi
Mmh basi naww umezidi kuokoteza sana hao wote wenye u.t.i,kuvuja damu,cjui uchafu mweupe na fangasi umekutana nao halafu unakuja kuwasema humu looh,unao kutana nao ndio type zako.mwingine unakuta anatoa uchafu mweupe kwenye uuke, kanaumwaumwa kila siku. na ye pia anataka perfect guy. ni shida asee
Hivi vile vitu vyeupe kumbe ni uchafu![]()
![]()
![]()
huwezi kuelewa bado mtoto.Hata mimi sijamuelewa
usjali njoo inbox.Ewaaaaa. Sio awe na povu tu na picha tunaitaka.
mi siachwagiHasira zoteee unakuja kutumalizia sisi bada ya kuachwa huko

wengine wana michirizi ya sidiria mabegani hadi mgongoni ila ye hamtaki mwanaume mwenye kovu hata moja.. hawa viumbe ni unbelievable ndugu yangu. nikikutana nao ni kupiga tu na kutupa.Wengine wana RANGI NYINGI mwilini kama upunde wa mvua,,nyekundu,, kijani,,,blue,,njano....halafu hiki kioo ndy kinawadanganya....
wanawake wa sku hizi wanaumwa balaa, yani bro wana matatizo ya kiafya hatari.Kwenye kuumwaumwa mpaka huwa nashangaa.... Utasikia nasikia homa nitumie elf sita nikanunue dawa
Kweli mkuu.....wengine maziwa marefu hadi kiunoni.. Nae anachaguwa dumewengine wana michirizi ya sidiria mabegani hadi mgongoni ila ye hamtaki mwanaume mwenye kovu hata moja.. hawa viumbe ni unbelievable ndugu yangu.. nikikutana nao ni kupiga tu na kutupa.
hapana ni wazuri huwezi kuamini kama wana hayo matatizo. majibu mwisho wa siku unayapata kitandani. majanga.Mmh basi naww umezidi kuokoteza sana hao wote wenye u.t.i,kuvuja damu,cjui uchafu mweupe na fangasi umekutana nao halafu unakuja kuwasema humu looh,unao kutana nao ndio type zako.
sijakataa vigezo lazma mtu awe navyo. swala hapa sio kwamba vigezo visiwepo ila ujiangalie na wewe vigezo unavyo? haiwezekan we unataka kua na mimi kwasababu nakidhi vigezo vyako ila wewe mwonekano wako kwangu usiwe unajalisha.
wewe ni kibonge kupindukia na mtindi umeshuka mpaka kitovuni ila unanambia mimi hiiii bebi fanya mazoezi bwana kitambi kimeanza kuota. yani wewe unataka nikuelewe na ubonge nyanya wako ila mimi kuota kakitambi kidunchu tu kwako nongwa.
wanawake bwana!!!!

Kwanini usimpe hela ya sabuni?Wanawake wengine utakuta ananuka kikwapa kama kuli wa mizigo aisee
Asante laazizUsijali my sweetheart utapona hivi punde