brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Kama unavaa suruali ili kukuwezesha kunyanyuliwa kirahisi na watu bila shaka utakuwa na EBOLA au KIFAFA, ni hatari sana, wahi hospitali.
Hahaha...watu wapana ka mapazia ya sinemax lol
Kama unavaa suruali ili kukuwezesha kunyanyuliwa kirahisi na watu bila shaka utakuwa na EBOLA au KIFAFA, ni hatari sana, wahi hospitali.
surual ndo vaz la heshima kama hamjui! hata ukidondoka hapo wa2 inakua rahic kukubeba! japo sket nayo ina hadhi yake na kwa wakat wake.... m navaaga sket kanisani 2, kwingne kote surual,
Hahaha...watu wapana ka mapazia ya sinemax lol
suruali sivai katika maisha yngu..
Habari zenu wana Jamiiforums,
Nina swali ambalo linanitatiza kwa wanawake na mabinti.Kwa miaka ya karibuni wanawake na mabinti wengi wamekuwa wakipenda sana vazi la suruali na kila mwanamke ili ajione amependeza lazima atupie suruali, swali ni kwamba suruali ndio zinafanya mpendeze sana tofauti na mama na bibi zenu? Na je hapo mnautukuza mfumo dume ambao mmekuwa mkiupinga kwa muda mrefu au? Kwanini suruali ndio limekuwa vazi lenu pendwa sana?
ndiyo vazi letu nzuri la kuficha miguu membamba ya kichaga.... sketi ndefu na shepu zetu hazipendezi kidogo ukivaa suruali kitako kinatoka kihips kinatoka
ni kweli kabisa... ila kupangilia mavazi nahisi ni kpaji au..?maana kuna namna mkipanga huwa mnapendeza mno...tunaishia kula kwa macho tu lkn inapendeza sanaMi ndo nazipenda kuvaa coz na look good my body and everything why hiding na napendeza sana tu
Kwani we unavaaga suruali?
watuache na miguu yetu kama tumepiga sarakasi + flat screen jaman.. suruali zinatusitiri. mi siaachi kuvaa mpaka viwanda vifungwe
Viwanda vikifungwa natengeneza mwenyewe aii
surual ndo vaz la heshima kama hamjui! hata ukidondoka hapo wa2 inakua rahic kukubeba! japo sket nayo ina hadhi yake na kwa wakat wake.... m navaaga sket kanisani 2, kwingne kote surual,
Sio wote bana miss chagga hapo mwanzo kaelezea...wengine tukivaa sketi lazima iwe mini haswa hadi mstari wa utamu uonekane sasa hapo tena mtalalama...bora suruali kwakwel hata tukikaa vibaya hakuna shida
Ndio navaa
Kwa nini kanisani unavaa sketi wakati ilitakiwa uvae suruali ambalo ni vazi la heshima au kanisani hapastahili heshima