Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
surual ndo vaz la heshima kama hamjui! hata ukidondoka hapo wa2 inakua rahic kukubeba! japo sket nayo ina hadhi yake na kwa wakat wake.... m navaaga sket kanisani 2, kwingne kote surual,
ni tabia za kimalaya. mwanamke anyejitambua hawezi kuvaa suruali tena ya kumbana. unakuta mwanamke mwengine ana zigo la maana nyuma anavaa suruali ya kumbana mpaka chupi inaonekana. basi ni mitahani tuliyonayo sisi wanaume.
Mh jamani mbona mwatukana watu bila sababu yaani kuvaa suruali ni UMALAYA, Je watu wanaojitanda nguo mwili mziama na tunawaona wakiuza papuchi tusemeje!
I navaa kila kitu bt place n tym.....sio naenda kwenye mishe na sketi...
Khaaa kuhangaika na daladala na sketi ht siwezi
Kwahiyo kuhangaika ndio kunakufanya uvae salawiri? vipi mambo yako yakinyoka walau ukapata ka-bebiwoka ka kukumuvuzisha places, je utaacha kuvaa hizo salawiri?
Oo umalaya tu hakuna kingine. Hata wajitahidi kutoa sababu.
Hahahaa haaaa
Yaaani leo umenichekesha
kinatoka kinaenda wapi
Hivi kuna tofauti kati ya dila na kanzu?Amelaaniwa avaaye mavazi yasiyo ya jinsia yake
Kweli kama mtu umejaliwa umbo zuri bana kuna suruale mtu ukivaa unapendeza mno asikwambie mtu sisi wanaume ndo tunaona..alafu zinakufanya unaonekana sharp, na flexible
Habari zenu wana
Jamiiforums,
Nina swali ambalo linanitatiza kwa wanawake na mabinti.Kwa miaka ya
karibuni wanawake na mabinti wengi wamekuwa wakipenda sana vazi la
suruali na kila mwanamke ili ajione amependeza lazima atupie suruali,
swali ni kwamba suruali ndio zinafanya mpendeze sana tofauti na mama na
bibi zenu? Na je hapo mnautukuza mfumo dume ambao mmekuwa mkiupinga kwa
muda mrefu au? Kwanini suruali ndio limekuwa vazi lenu pendwa sana?
Habari zenu wana Jamiiforums,
Nina swali ambalo linanitatiza kwa wanawake na mabinti.Kwa miaka ya karibuni wanawake na mabinti wengi wamekuwa wakipenda sana vazi la suruali na kila mwanamke ili ajione amependeza lazima atupie suruali, swali ni kwamba suruali ndio zinafanya mpendeze sana tofauti na mama na bibi zenu? Na je hapo mnautukuza mfumo dume ambao mmekuwa mkiupinga kwa muda mrefu au? Kwanini suruali ndio limekuwa vazi lenu pendwa sana?
Kuna uhusiano gani kati ya kuvaa suruali kwa mwamke na umalaya?
Umalaya ni tabia ya mtu.
Wapo waonaovaa baibui na max gawns ni malaya wa kutupwa
Sana tu
Nipo kwenye bebiwoka fresh na visketi vyangu.
Halafu automatically mtu unajikuta tu unaacha.kuvaa trouser...lyk nilipokua chuo ckuwa na sketi ht 1 bt tangu nimemaliza trouser ht 5 hazifiki ni mwendo wa gauni na sketi. ...taratibu suruali naziacha nakuta Sijisikii kuvaa most of the tym!
Jamani suruali sio umelaya
Kuna uhusiano gani kati ya kuvaa suruali kwa mwamke na umalaya?
Umalaya ni tabia ya mtu.
Wapo waonaovaa baibui na max gawns ni malaya wa kutupwa
sasa na ninyi mvae skirt mbona zinawapendeza kuliko suruali!