Wanawake na suruali

Wanawake na suruali

INATEGEMEA...........
PhotoGrid_1397799669374.jpg
ha ha ha ha huyu chizi mbona msafi sana wa mitaa gani?
 
Vipi mama na bibi zetu walioshindwa kufuata mfumo wa kutembea maziwa wazi na kufunika tupu zao na magogo na ngozi,unawazungumziaje wao?
Habari zenu wana Jamiiforums,

Nina swali ambalo linanitatiza kwa wanawake na mabinti.Kwa miaka ya karibuni wanawake na mabinti wengi wamekuwa wakipenda sana vazi la suruali na kila mwanamke ili ajione amependeza lazima atupie suruali, swali ni kwamba suruali ndio zinafanya mpendeze sana tofauti na mama na bibi zenu? Na je hapo mnautukuza mfumo dume ambao mmekuwa mkiupinga kwa muda mrefu au? Kwanini suruali ndio limekuwa vazi lenu pendwa sana?
 
ni tabia za kimalaya. mwanamke anyejitambua hawezi kuvaa suruali tena ya kumbana. unakuta mwanamke mwengine ana zigo la maana nyuma anavaa suruali ya kumbana mpaka chupi inaonekana. halafu chupi yenyewe nyeusi!!!! basi ni mitahani tuliyonayo sisi wanaume.

Umalaya ni kuvaa suruali??toka lini au umalaya ni wewe na tamaa zako?unazoom makalio ya watu ili iweje??😕
 
Kam vitu huelewi kaa kimya ,unaelewa maana ya jinsia au inaandika kwa sababau ulisikia mkeo anatamka! Mavazi ni utamduni tu hauna uhusiano na jinsi ya mtu ,kwanini mwanaume wa Kisukuma akisuka ataonekana wa ajabu ,lakini Masai sawa! Mbona Yesu alivaa Kanzu ,lakini kwa kuwa utamaduni wa kizungu ndio uliiteka imani ya Kikristo leo hii makanisani watu wanavaa Kizungu! Kwani Wswazilnd wanaume wanajfunga kanga ni wajinga .Kuna Wskotish wanaume wanavaa Sketi !

Ni kweli AMELAANIWA YOYOTE ATAKAYEVAA VAZI LISILOWIYANA NA JINSIA YAKE!Mafundisho haya yanapatika ktk dini inayotafsri maumbile ya mwanadamu kwa usahihi!
 
Back
Top Bottom