Wanawake na msemo wa "Sipendi mwanaume mweupe"

Wanawake na msemo wa "Sipendi mwanaume mweupe"

planexboi

Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
45
Reaction score
232
Natumaini mko salama

Huu msemo unazidi kushika kasi sana mitaani, nimekuwa nikisikia wadada wengi nyakati tofauti tofauti wakidai hawapendi mwanaume mweupe.

Kwa maana nyingine wanatuaminisha sisi weusi ndo tupo kwenye chat.

Cha ajabu hao hao wanawake ukipiga nao picha wataweka kila aina ya filter uonekane mweupe.

Hii imekaaje?
 
Kuwa makini sana..anataka kukupiga mzinga wa maisha.

Sema nini hawaeleweki wanataka nini mana pia wanapenda kuzaa vitoto vyeupe vizuri..sasa unadhani watazaa na wewe cheusi mangala.

#MaendeleoHayanaChama
 
20220413_173350.jpg
 
Inawezekana wakiwa na wanaume weupe nao wanaambiwa hawawapendi wanaume weusi...
 
Back
Top Bottom