Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Aisee! Una maadui wengi sana na wote malengo yao yanatimiaNisipofuta namba niki mute, nitajikuta nashawishika kuangalia jee Leo ana jipya gani.
Dawa ni sisevu kabisa namba hivyo sitajua kama kaweka au lah.
Kuna mwanaume/mvulana nilikuwa nimesave namba yake daah. Yaani anavijembe vya ajabu tena anatumia maandiko kabisa vya vitabu vya dini. Kila siku Mara adui zangu mtaangamia kama moto wa nini sijui, Mara alichokibariki Mungu mwanadamu hawezi kukilaani, Mara Mungu ameshasema Yes wewe ni nani hadi useme No..,Mara Mungu pigana nao wanaopigana na Mimi....
Mara mtapigana na Mimi lakini hamtashidaaa.
Nikaona hizi siyo aina ya vitu ninavyopenda kuviona nikafuta zangu namba. Maana unaweza kuta vijembe ni vyakwako haujui![]()



Hapo zamani zilitumika khanga, ila kwa sasa mitandao imewarahisishia kifikisha ujumbe, kwa hivyo wanaenda sambamba na takolanjiwa sorry teknolojia![]()

bora warudi kwenye kanga maana tunaona ujumbe na mengineyosikua mtundu nlikua nimetoka skuli boding..nkafikia kwa ndugu walokolepole sana ila na wewe sasa usijewafunga watoto wako kama ulivyofanyiwa wao... ahaah nadhani ulikua mtundu sana
Sio kujifanya wasomi. Vilaza hawapo kule![]()
Miaka ya 2012 kurudi nyuma Facebook ilikiwa poa sana.Mmhh kuna mahali wanakosekana vilaza kweli? Facebook sasa ndo usiseme kila mtu kule anajifanya mjanja kwanza sijawahi kuwa mpenzi wa Facebook tangu inaundwa nilishawahi kuitumia ila haikupita hata mwaka nikaiacha
Bora kanga kuliko hayo matumiz mabaya ya status alaf kanga ata asie na bundle anaviewKwakweli....


ni vipofu tu hawaviewMiaka ya 2012 kurudi nyuma Facebook ilikiwa poa sana.
Hata app sina kwa sasa. Ila naingiaga kupitia browser mara moja moja. nina marafiki wachache ninao wafahamu tu. Mtu akiniomba urafiki kama simjui huwa sikubali.
Dogo! Kwa hayo maneno yako natamani tubadilishane no za simu. Ili niangalie status zako tu( na sio kwa jambo lingine)nzuli kubwa




Kwa experience yangu hii tabia ya vijembe wanayo wanawake wengi(>99%)hasa ambao bado hawajaolewa, siamini kama uko kwenye <1%

App nilikuwa naipenda ila ina tatizo la notification. Nimeamua kurudi kutumia browser.Ah mi ilinishinda kwa kweli, kwahiyo wewe hata jf pia unatumia browser?
Hivi kumbe browser inasaidia kupunguza matumizi ya bundle? Aisee mimi jf browser huwa inanitia uvivu kufungua kurasa moja moja za commentsApp nilikuwa naipenda ila ina tatizo la notification. Nimeamua kurudi kutumia browser.
Ila napendeleaga zaidi browser kwenye vitu vingi. Sionagi haja ya kuwa na utitiri wa app utaokumalizia bando wakati kitu unaweza kubrowse.
I
Ukiwa na utitiri wa app zinaongeza uzito kwenye simu. Halafu app hata kama huitumii huendelea kufanya kazi background. Ndio maana unapokea notification.Hivi kumbe browser inasaidia kupunguza matumizi ya bundle? Aisee mimi jf browser huwa inanitia uvivu kufungua kurasa moja moja za comments
Naonaga bora app tu comments zote ya kwanza hadi ya mwisho unazikuta zipo sehemu moja sema tu ni vile kuna vitu kwenye browser vipo ila kweye app havipo na ndo hicho kinachoipa credit browser yaani app inahitaji maboresho kwa kweli
Ukiwa na utitiri wa app zinaongeza uzito kwenye simu. Halafu app hata kama huitumii huendelea kufanya kazi background. Ndio maana unapokea notification.
Pia app ya jamii forum haina features nyingi kama ukiifungua kwenye browser kama ulivyosema hapo.
Dogo! Kwa hayo maneno yako natamani tubadilishane no za simu. Ili niangalie status zako tu( na sio kwa jambo lingine)Kwa experience yangu hii tabia ya vijembe wanayo wanawake wengi(>99%)hasa ambao bado hawajaolewa, siamini kama uko kwenye <1%
![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👐🏾👐🏾👐🏾👐🏾Na wewe pia status zako za Real estate na ma IFRS nimezichoka nitamute![]()
Nyingine zina vijembe... Mfano ile ya yule jamaa... Si kijembe kabisa kileMemes hazina shida bhana![]()

sikua mtundu nlikua nimetoka skuli boding..nkafikia kwa ndugu walokole