Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Don bhana.
Forgive my courtesy, am too old for this technological innovations, thus why.
Don bhana.
Na wewe pia status zako za Real estate na ma IFRS nimezichoka nitamuteHahahahahah noma sana.... Machozi ya samaki yanapata mfariji






I swear I never do that
Babe huwa haumpost.
Na kuandika "asante mpenzi kwa penzi la last night"??? Sema kweli![]()
Aisee basi uko tofauti na wenzio wengi....Hamna kitu nachukia kama mtu anayeweka profile picture ya "vijembe" au whatsup status. Hata kama hanichambi Mimi.
Nikiwa nime save namba yako siku nikaona umeandika maneno ya ajabu ajabu, kama vile majungu majungu huwa naifuta ili nisione.
Ni ushamba na utoto na ulimbukeni.
Halafu subiri...! Inamaana na katika hili umeona wanawake tuu ndiyo huwa wanaweka hizo status za kijinga? Wanaume hawaweki? Au umemaanisha za wanawake tuu ndiyo zinakera? Za wanaume ni asali????????
Halafu mara nyingi wanaowekaga hizo status za kutupiana vijembe whatsapp wengi wao ni wale ambao wanaandikaga maneno kama mm, ww, ss, xx, umekura, umerara, umeludi, umelizika, et al
Kwanza mimi mtu akiandika maneno kama hayo kuna namna ambavyo huwa namchukulia hata kama kiuhalisia hayuko hivyo ninavyomchukulia na akitamka maneno kama hivyo (hayo manne ya mwisho) ndo kabisaaaaa
Halafu sijawahi kukuona umetumia emoji kabisa.Forgive my courtesy, am too old for this technological innovations, thus why.
Status zina raha yake huwez ukazipita. Mie napenda za wanandoa wenye mgogoro aiseee utafahamu kila kinachoendelea ndani ya nyumba
Asante kwa kuniongezea maarifa mkuu nmekuelewa vyema
Halafu sijawahi kukuona umetumia emoji kabisa.
Kwani umezeeka sana?
Halafu sijawahi kukuona umetumia emoji kabisa.
Kwani umezeeka sana?
Vipi limekupata mkuu??Punguza kurusha mawe Gizani, Mungu anakuona
Vipi limekupata mkuu??
Hapana niki- assess naona reality to brutalised users wa laugha tatanishi kiukweli umeweka ukweli halisi .......
Yaani kiukweli wanaoandikaga hivyo wanazingua sana
Safi sanaI swear I never do that

Sasa emoji zipo nyingi na siyo zote zipo romantic.Nazitumia nikiwa naandikiana ujumbe wa mapenzi na either mke wangu au nanilii.
Hahahahah inaelekea wengi ni vijanaKwani wanaotumia emoji ni vijana tu? Another changamoto....
now nimeelewa.

.Ndio uhuru wa maoni na uwasilishaji, inaudhi yet mambo ya wakati,
Ya ujana na vijana muda wote pasua kichwa
Kwa conservatives ni mitihani mkubwa.