Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Why ufute namba? mute status
Tajiri hanuniwi.

Yeah ni kweli sio wanawake tu sikuhizi wanaume nao hawapo nyuma; mfano ni type za kina diamond bingwa wa mipasho na bado watu wanampongeza kwa mipasho yake na wapo wengi tu, si kina Dada pekee, sijui ndio mambo ya haki sawa kwa wote
Nisipofuta namba niki mute, nitajikuta nashawishika kuangalia jee Leo ana jipya gani.
Dawa ni sisevu kabisa namba hivyo sitajua kama kaweka au lah.

Kuna mwanaume/mvulana nilikuwa nimesave namba yake daah. Yaani anavijembe vya ajabu tena anatumia maandiko kabisa vya vitabu vya dini. Kila siku Mara adui zangu mtaangamia kama moto wa nini sijui, Mara alichokibariki Mungu mwanadamu hawezi kukilaani, Mara Mungu ameshasema Yes wewe ni nani hadi useme No..,Mara Mungu pigana nao wanaopigana na Mimi....
Mara mtapigana na Mimi lakini hamtashidaaa.

Nikaona hizi siyo aina ya vitu ninavyopenda kuviona nikafuta zangu namba. Maana unaweza kuta vijembe ni vyakwako haujui
 
Halafu mara nyingi wanaowekaga hizo status za kutupiana vijembe whatsapp wengi wao ni wale ambao wanaandikaga maneno kama mm, ww, ss, xx, umekura, umerara, umeludi, umelizika, et al

Kwanza mimi mtu akiandika maneno kama hayo kuna namna ambavyo huwa namchukulia hata kama kiuhalisia hayuko hivyo ninavyomchukulia na akitamka maneno kama hivyo (hayo manne ya mwisho) ndo kabisaaaaa
.
Yaani ukishaona vijembe lazima mtu awe wa hivyo. Na elimu pia inachangia.
 
Hahahahah nafuta namba hapo hapo.
Unajua tatizo ya hivi vitu unaweza dhani mtu kamwekea mtu mwingine kumbe amekuwekea weweuki view anasema Yeees!
Kizaa zaa kinakuja pale ambapo ulomlenga aview anatumia clone whatsapp alafu amehide view status. Anapita zake anaiangalia kimya kimya alafu hamuoni hapo presha juu 😃
 
Hii ilinisaidia kumnasa kigori mmoja na kumpa mgegedo baada ya kuona anapost status za kubrekup nika mkaribisha kwangu tupige story na akaliwa
 
Kizaa zaa kinakuja pale ambapo ulomlenga aview anatumia clone whatsapp alafu amehide view status. Anapita zake anaiangalia kimya kimya alafu hamuoni hapo presha juu
Atajua tuu umeview, kama za nyuma ulikuwa unaview na unaacha comment na anaona haujatokea kwenye list, na hiyo atajua umeview tuu.
Labda kama tangu mwanzo hata za maana anazoziweka huwa unaview kimya kimya bila kujibu.
 
Hamna kitu nachukia kama mtu anayeweka profile picture ya "vijembe" au whatsup status. Hata kama hanichambi Mimi.

Nikiwa nime save namba yako siku nikaona umeandika maneno ya ajabu ajabu, kama vile majungu majungu huwa naifuta ili nisione.

Ni ushamba na utoto na ulimbukeni.

Halafu subiri...! Inamaana na katika hili umeona wanawake tuu ndiyo huwa wanaweka hizo status za kijinga? Wanaume hawaweki? Au umemaanisha za wanawake tuu ndiyo zinakera? Za wanaume ni asali????????
Wanawake mmezidi, unakuta limtu limezinguana na mpenz wake kutwa nzima ni kupost ushenzi kudharau/kuikejeli jinsia tofauti
 
Ni ulimbukeni kuweka maisha yako na kila kinachoendelea kwenye mitandao, kuna ambao kila wanachofanya utaona kaweka status na maneno ya ajabu utadhani kalogwa
 
Sio wanawake tu hata wanaume baadhi wanahiyo tabia kiukweli sio nzuriiii
 
Ni ulimbukeni kuweka maisha yako na kila kinachoendelea kwenye mitandao, kuna ambao kila wanachofanya utaona kaweka status na maneno ya ajabu utadhani kalogwa
Weka basi vitu vya maana ambavyo vitawa inspire wanao view. Unakuta mtu anaweka kila kitu na hamna hata cha maana hata kimoja zaidi ya kujichoresha.

Mimi nikiweka status ni tangazo la biashara basi.
 
Yeah hata mimi pia nadhani elimu inachangia kwa wengi wao japo kuna ambao wana degree na wanaandika hivyo sasa hawa mimi ndo huwa nashindwa kuwaelewa kabisa sijui elimu yao haijawasaidia?
Sio degree tu wapo wenye masters na wanafanya uo ujinga, elimu inasaidia lakin n mtu mwenyewe kujitambua
 
Hamna kitu nachukia kama mtu anayeweka profile picture ya "vijembe" au whatsup status. Hata kama hanichambi Mimi.

Nikiwa nime save namba yako siku nikaona umeandika maneno ya ajabu ajabu, kama vile majungu majungu huwa naifuta ili nisione.

Ni ushamba na utoto na ulimbukeni.

Halafu subiri...! Inamaana na katika hili umeona wanawake tuu ndiyo huwa wanaweka hizo status za kijinga? Wanaume hawaweki? Au umemaanisha za wanawake tuu ndiyo zinakera? Za wanaume ni asali????????
Hana marafiki wa kiume kwenye social media. Hivyo ni ngumu yeye kujua status za wanaume. Hebu subiri aje, am just saying.
 
Weka basi vitu vya maana ambavyo vitawa inspire wanao view. Unakuta mtu anaweka kila kitu na hamna hata cha maana hata kimoja zaidi ya kujichoresha.

Mimi nikiweka status ni tangazo la biashara basi.
Mimi sikumbuk mara ya mwsho lini ila wanawake mmezidi au n kwasababu nna namba nyingi za KE
 
Weka basi vitu vya maana ambavyo vitawa inspire wanao view. Unakuta mtu anaweka kila kitu na hamna hata cha maana hata kimoja zaidi ya kujichoresha.

Mimi nikiweka status ni tangazo la biashara basi.
lol mimi siwekagi vijembe mara nyingi nawekaga funny videos and memes hata siwekagi vitu vya maana na mimi kuweka status ni mara moja au mbili kwa mwezi
 
Back
Top Bottom