Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Halafu mara nyingi wanaowekaga hizo status za kutupiana vijembe whatsapp wengi wao ni wale ambao wanaandikaga maneno kama mm, ww, ss, xx, umekura, umerara, umeludi, umelizika, et al

Kwanza mimi mtu akiandika maneno kama hayo kuna namna ambavyo huwa namchukulia hata kama kiuhalisia hayuko hivyo ninavyomchukulia na akitamka maneno kama hivyo (hayo manne ya mwisho) ndo kabisaaaaa
Ni kweli kabixa umeongea ukweri xaxa wanatuekea wengine sjui inatuhusu nini halafu iro ritabia mnaro ninyi wanawake badiliken
 
unaniuliza habari za UE mwaka huu? Mkuu unanichukuliaje? Watu tumemaliza vyuo tangu enzi za Mkapa huko hata Kikwete hafikirii kuingia madarakani ndo unaniuliza leo? Haki nimeishiwa nguvu hata kama siyo kosa lako hukujua ila umenishangaza khaa
Nimekuuliza maana t appears like;-

1. Bado hujajua whow and when to apply knowledge uliyonayo in real life.

2. U still remember the questions uliyofanya not a long time ago. U even provided the marks( who does that? ).

A person that u ar trying to make me believe u ar is actually not a person anayeweza kufanya ulichofanya (again i exclude u from the 1%). T'll be very funny kama utakua hujangundua kwanini nasema u dont belong in the 1%
 
Kwahiyo kumbe mwenzangu umechukulia serious yale maswali niliyokuuliza? Kwamba eti nataka unijibu kweli na kwamba ndo nilitakiwa nikuulize vile? Amazing.

Kingine nazidi kuamini kwamba watanzania wengi mnaishi kwa kukariri. Kwamba eti mimi kujua hayo maswali ni hadi niwe nimemaliza chuo hivi karibuni? What if mimi ni mwalimu ninayefundisha mambo kama hayo? I'm surprised.
Nimekuuliza maana t appears like;-

1. Bado hujajua whow and when to apply knowledge uliyonayo in real life.

2. U still remember the questions uliyofanya not a long time ago. U even provided the marks( who does that? ).

A person that u ar trying to make me believe u ar is actually not a person anayeweza kufanya ulichofanya (again i exclude u from the 1%). T'll be very funny kama utakua hujangundua kwanini nasema u dont belong in the 1%
 
Kwahiyo kumbe mwenzangu umechukulia serious yale maswali niliyokuuliza? Kwamba eti nataka unijibu kweli na kwamba ndo nilitakiwa nikuulize vile? Amazing.

Kingine nazidi kuamini kwamba watanzania wengi mnaishi kwa kukariri. Kwamba eti mimi kujua hayo maswali ni hadi niwe nimemaliza chuo hivi karibuni? What if mimi ni mwalimu ninayefundisha mambo kama hayo? I'm surprised.
The idea that u think m serious makes u serious , if i was serious, i would've answered ur questions in the first place(an it was an easy A).
 
The idea that u think m serious makes u serious , if i was serious, i would've answered ur questions in the first place(an it was an easy A).
oohh so I guess I should have asked "are you serious?" first.
 
Back
Top Bottom