Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Yani kuna raia kupitia status zao wanazoweka huko mitandaoni na kwenye wasup zao unajua kabisaa hali anayopitia kwa wakati huo,.huna haja ya kumuuliza kwa jinsi alivyojidadavua,.hasa mahusiano yao yakienda mrama[emoji23][emoji23][emoji23]woii utamsikia mtu "kwa hilo hujanikomoa nimempata mwingine natanua" lol[emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status zina raha yake huwez ukazipita. Mie napenda za wanandoa wenye mgogoro aiseee utafahamu kila kinachoendelea ndani ya nyumba

Duh na wanawake ndio watakuwa wanaongoza basi.. wanaume wao wakidakwa inabidi wajilaumu wao 😀
 
Mimi sikumbuk mara ya mwsho lini ila wanawake mmezidi au n kwasababu nna namba nyingi za KE [emoji16]
Ni kweli sisi tumezidi kupost vitu vya hovyo.
Wanaume wana post ila wanajitahidi hawaweki mipasho sana. Japo wapo wanaowawakilisha kwa kuweka vijembe kama vyote na hizi alama [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lol mimi siwekagi vijembe mara nyingi nawekaga funny videos and memes hata siwekagi vitu vya maana na mimi kuweka status ni mara moja au mbili kwa mwezi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Babe huwa haumpost[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Na kuandika "asante mpenzi kwa penzi la last night"??? Sema kweli[emoji23][emoji23]
 
Ni kweli sisi tumezidi kupost vitu vya hovyo.
Wanaume wana post ila wanajitahidi hawaweki mipasho sana. Japo wapo wanaowawakilisha kwa kuweka vijembe kama vyote na hizi alama [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
Mpunguze ni muhim ku handle private life privately wengi wanayaanika hadharan nakumbuka miaka kama miwili nyuma nlikua na mwanamke uyo mkipishana kidogo utakoma kwa hizo status, hakwambii kitu utapata ujumbe kwa status ikawa tukikosana nafutilia mbali namba ili nsiview ujinga wake
 
Babe huwa haumpost[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Na kuandika "asante mpenzi kwa penzi la last night"??? Sema kweli[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] ila kuna watu kwenye status wana mapenz moto moto [emoji91][emoji91][emoji91] kama uko na upweke unaeza jiuliza unafeli wapi lakin weng wao wanaachanaga
 
Hamna kitu nachukia kama mtu anayeweka profile picture ya "vijembe" au whatsup status. Hata kama hanichambi Mimi.

Nikiwa nime save namba yako siku nikaona umeandika maneno ya ajabu ajabu, kama vile majungu majungu huwa naifuta ili nisione.

Ni ushamba na utoto na ulimbukeni.

Halafu subiri...! Inamaana na katika hili umeona wanawake tuu ndiyo huwa wanaweka hizo status za kijinga? Wanaume hawaweki? Au umemaanisha za wanawake tuu ndiyo zinakera? Za wanaume ni asali????????

Ukiona mwanaume anayependa kuandika kwa kuweka emoji nyingi nyingi, ujue huyo naye ni mtu wa status pia. In short, ni mwenzenu.
 
Umenena sahihi kabisa, huwa sielewi lakini nafikiri ni uelewa mdogo juu ya matumizi ya hii mitandao ya kijamii, huenda huyo anayemsema anatumia simu ya tochi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]
...... Mungu ananisimamiaa...

Tumekuuliza.

😂😂😂😂
 
Mpunguze ni muhim ku handle private life privately wengi wanayaanika hadharan nakumbuka miaka kama miwili nyuma nlikua na mwanamke uyo mkipishana kidogo utakoma kwa hizo status, hakwambii kitu utapata ujumbe kwa status ikawa tukikosana nafutilia mbali namba ili nsiview ujinga wake
Kupunguza ndiyo mtu sasa uelimike.
Hatuwezi kupunguza hivi hivi.
 
Fact ila na master's ni degree pia mkuu tukisema degree tunamaanisha associate, bachelor's, master's na doctorate zote hizo ni degree ila ukitaka kuongelea moja ndo unaspecify ni ipi kati ya hizo sema ndo hivyo kwa Tanzania imezoeleka bachelor's tu ndo degree kwahiyo nimekuelewa
Sio degree tu wapo wenye masters na wanafanya uo ujinga, elimu inasaidia lakin n mtu mwenyewe kujitambua
 
Fact ila na master's ni degree pia mkuu tukisema degree tunamaanisha associate, bachelor's, master's na doctorate zote hizo ni degree ila ukitaka kuongelea moja ndo unaspecify ni ipi kati ya hizo sema ndo hivyo kwa Tanzania imezoeleka bachelor's tu ndo degree kwahiyo nimekuelewa
Asante kwa kuniongezea maarifa mkuu nmekuelewa vyema
 
Hahahahah nafuta namba hapo hapo.
Unajua tatizo ya hivi vitu unaweza dhani mtu kamwekea mtu mwingine kumbe amekuwekea wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uki view anasema Yeees!
Hahahahahah noma sana.... Machozi ya samaki yanapata mfariji
 
Kupitia hivyo wanapata psychological comfort.
Aisee wanahisi kufarijika....

Kuna wapuuzi wengi sana nimewablok kutokana na ujinga huu...

Yani mtu anataka uwe sehemu ya maisha yake for no reason.
 
Back
Top Bottom