Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Wanawake na message zenu mitanadaoni...!!!

Yani kuna raia kupitia status zao wanazoweka huko mitandaoni na kwenye wasup zao unajua kabisaa hali anayopitia kwa wakati huo,.huna haja ya kumuuliza kwa jinsi alivyojidadavua,.hasa mahusiano yao yakienda mramawoii utamsikia mtu "kwa hilo hujanikomoa nimempata mwingine natanua" lol
 
Status zina raha yake huwez ukazipita. Mie napenda za wanandoa wenye mgogoro aiseee utafahamu kila kinachoendelea ndani ya nyumba

Duh na wanawake ndio watakuwa wanaongoza basi.. wanaume wao wakidakwa inabidi wajilaumu wao 😀
 
Ni kweli sisi tumezidi kupost vitu vya hovyo.
Wanaume wana post ila wanajitahidi hawaweki mipasho sana. Japo wapo wanaowawakilisha kwa kuweka vijembe kama vyote na hizi alama
Mpunguze ni muhim ku handle private life privately wengi wanayaanika hadharan nakumbuka miaka kama miwili nyuma nlikua na mwanamke uyo mkipishana kidogo utakoma kwa hizo status, hakwambii kitu utapata ujumbe kwa status ikawa tukikosana nafutilia mbali namba ili nsiview ujinga wake
 
Hamna kitu nachukia kama mtu anayeweka profile picture ya "vijembe" au whatsup status. Hata kama hanichambi Mimi.

Nikiwa nime save namba yako siku nikaona umeandika maneno ya ajabu ajabu, kama vile majungu majungu huwa naifuta ili nisione.

Ni ushamba na utoto na ulimbukeni.

Halafu subiri...! Inamaana na katika hili umeona wanawake tuu ndiyo huwa wanaweka hizo status za kijinga? Wanaume hawaweki? Au umemaanisha za wanawake tuu ndiyo zinakera? Za wanaume ni asali????????

Ukiona mwanaume anayependa kuandika kwa kuweka emoji nyingi nyingi, ujue huyo naye ni mtu wa status pia. In short, ni mwenzenu.
 
Umenena sahihi kabisa, huwa sielewi lakini nafikiri ni uelewa mdogo juu ya matumizi ya hii mitandao ya kijamii, huenda huyo anayemsema anatumia simu ya tochi
...... Mungu ananisimamiaa...

Tumekuuliza.

😂😂😂😂
 
Mpunguze ni muhim ku handle private life privately wengi wanayaanika hadharan nakumbuka miaka kama miwili nyuma nlikua na mwanamke uyo mkipishana kidogo utakoma kwa hizo status, hakwambii kitu utapata ujumbe kwa status ikawa tukikosana nafutilia mbali namba ili nsiview ujinga wake
Kupunguza ndiyo mtu sasa uelimike.
Hatuwezi kupunguza hivi hivi.
 
Fact ila na master's ni degree pia mkuu tukisema degree tunamaanisha associate, bachelor's, master's na doctorate zote hizo ni degree ila ukitaka kuongelea moja ndo unaspecify ni ipi kati ya hizo sema ndo hivyo kwa Tanzania imezoeleka bachelor's tu ndo degree kwahiyo nimekuelewa
Sio degree tu wapo wenye masters na wanafanya uo ujinga, elimu inasaidia lakin n mtu mwenyewe kujitambua
 
Fact ila na master's ni degree pia mkuu tukisema degree tunamaanisha associate, bachelor's, master's na doctorate zote hizo ni degree ila ukitaka kuongelea moja ndo unaspecify ni ipi kati ya hizo sema ndo hivyo kwa Tanzania imezoeleka bachelor's tu ndo degree kwahiyo nimekuelewa
Asante kwa kuniongezea maarifa mkuu nmekuelewa vyema
 
Kupitia hivyo wanapata psychological comfort.
Aisee wanahisi kufarijika....

Kuna wapuuzi wengi sana nimewablok kutokana na ujinga huu...

Yani mtu anataka uwe sehemu ya maisha yake for no reason.
 
Back
Top Bottom