Wanawake na magari

Wanawake na magari

waungwana kumekuwa na msemo kwamba asilimia kubwa ya kina dada wanapenda sana magari kiasi cha kwamba ni rahisi kwa binti au mwanamke kuingia kwenye mahusiano kwasababu amemuona mwanaume ana gari. je ni kweli dada zetu wanapenda sana magari? na kama ndio ni kwasababu gani?

.....Hilo ni kweli kabisa tena wengine hawajui kutofautisha kati ya binafi na SU, STK ,DFP na namba za ubalozi wanachojua anaeendesha la kwake.....akistuka manyoya....
 
Nawashangaa... mpk wale ambao walikuwa hawakusalimii ila ukiwa na gari salamu lazima.... Haloooooooo!!!!!!

Sio salamu tu mamy na kujipendekeza kwa sana me nawashangaa hapa kila siku wanawake na gari na gar.

Ngoja niwape mchapo nilikuwa naishi mji flan,i gari ya kwanza kununua ilikuwa ni toleo jipya kwa hiyo katika ule mji me nilikuwa mtu wa pili kununua,sasa yule wa kwanza alikuwa mkaka ambaye ofice zilikuwa karibu alinitafuta hadi kunipata kisa tu alitaka kujua mdada mwenye hii gari?huko si ndo kushobokea?

miwatu wazima wenye pesa zao walikuwa wanaizungumzia gari yangu kwa hiyo msituchoshe hapa hata nyie mnashoboke magari ya wanawake tena kwa maneno ya wivu
 
Sio salamu tu mamy na kujipendekeza kwa sana me nawashangaa hapa kila siku wanawake na gari na gar.

Ngoja niwape mchapo nilikuwa naishi mji flan,i gari ya kwanza kununua ilikuwa ni toleo jipya kwa hiyo katika ule mji me nilikuwa mtu wa pili kununua,sasa yule wa kwanza alikuwa mkaka ambaye ofice zilikuwa karibu alinitafuta hadi kunipata kisa tu alitaka kujua mdada mwenye hii gari?huko si ndo kushobokea?

miwatu wazima wenye pesa zao walikuwa wanaizungumzia gari yangu kwa hiyo msituchoshe hapa hata nyie mnashoboke magari ya wanawake tena kwa maneno ya wivu

Wape wape.... Em watupishe khaaa!!!!!!
 
Yaaani wanawake wakiona una paki prado tayari chupi zinalowa kabisa..yaani dawa waliyotumia wajapani kuvutia wanawake kwa haya magari ni kali sana
 
Yaaani wanawake wakiona una paki prado tayari chupi zinalowa kabisa..yaani dawa waliyotumia wajapani kuvutia wanawake kwa haya magari ni kali sana ...
 
Mwanamke na gari ni sawa na mwanamke kumwona mwanamume anatoa bulungutu la hela dukani kulipa, akili inachanganyikiwa akiziona tu . We tupa ndoana utanasa samaki tu! Sijui kwa nini wanakuwa na kiwewe na magari!


Kwa sababu anajuwa atakulisha limbwata, ukilewa utampa pesa ili asaidie nduguze na kukufanya wewe mtaji. Inasemwa hiyo mitaani kuwa hapendwi mtu ila pochi mbele.
 
waungwana kumekuwa na msemo kwamba asilimia kubwa ya kina dada wanapenda sana magari kiasi cha kwamba ni rahisi kwa binti au mwanamke kuingia kwenye mahusiano kwasababu amemuona mwanaume ana gari. je ni kweli dada zetu wanapenda sana magari? na kama ndio ni kwasababu gani?


Samahani, japo nawaheshimu kina mama ila akili zao wakati mwingine ni sawa na inzi. Kina mama wakimuona jamaa na gari basi wanawaza kupata lifti ya mara kwa mara na kwenda kuwatambia wenzao kuwa kapata jamaa mwenye gari. Yaani mwanamke hata akijuwa jamaa ni dereva binafsi wa mtu anandesha gari basi atajishaua ili tu ampate kutegemea ipo siku ataingizwa ndani ya hilo gari. Kingine pia ni tamaa, si mnaona yaliyompata ndugu yenu Masogange? Kutaka kutikisa jiji kwa kudeal na wauza unga, demu alikuwa na pesa haramu kibao mpaka akawa anakufuru na kubandika mtandaoni kutishia uhai wa wenzake, ona sasa ananyea bakuli huko south kwa ajili ya tamaa za kijinga. Ishini kwa malengo na uwezo wenu.
 
Sio salamu tu mamy na kujipendekeza kwa sana me nawashangaa hapa kila siku wanawake na gari na gar.

Ngoja niwape mchapo nilikuwa naishi mji flan,i gari ya kwanza kununua ilikuwa ni toleo jipya kwa hiyo katika ule mji me nilikuwa mtu wa pili kununua,sasa yule wa kwanza alikuwa mkaka ambaye ofice zilikuwa karibu alinitafuta hadi kunipata kisa tu alitaka kujua mdada mwenye hii gari?huko si ndo kushobokea?

miwatu wazima wenye pesa zao walikuwa wanaizungumzia gari yangu kwa hiyo msituchoshe hapa hata nyie mnashoboke magari ya wanawake tena kwa maneno ya wivu

Gari ulinunua mwenyewe au ulipewa na bwana mwenye gari? Fafanua pls sio kuleta maneno ya kwenye kanga hapa.
 
Nina ushahidi wa kutosha kuwa ukiwa una gari na hata kama ni dereva tu wadada wanamganda dereva hata kuliko bosi anaye endeshwa sijui kuna nini kwenye magari
 
Tushachoka na hizi mada.... WANAWAKE + MAGARI... Mbona gari kitu cha kawaida tu???

Mtambuzi njoo unisaidie!!

Gari ni kitu cha kawaida sana Bongo kama mtu umepiga shule ukamaliza ukapata na kazi yenye kulipa vizuri gari ni rahisi kumiliki....hata kama biashara zako zinafanya vizuri gari ni kitu cha kawaida sana....Siku zote wenye kushoboka/babaika na magari huwa hawana uwezo wa kumiliki Gari hata mbingu ishuke thats y....Unakuta Binti baba yake hata baiskeli hajawahi kumiliki akitokea hata bwana mwenye pikipiki lazima achanganyikiwe sembuse Altezza?? Dada yangu charminglady mke wangu ameanza kuendesha Gari tokea ana miaka 13 kakutana na mimi akiwa na miaka 22 tena niko choka mbaya bado nilikuwa na hustle na vibahasha vya kaki town 24/7 na alinipenda jinsi nilivyokua na kunitia moyo kwa kiasi kilichohitajika....Kwa kifupi gari yeye kwake ilikua ni kitu cha kawaida kama Mapopo wa Dar na chips za American chips.
 
Last edited by a moderator:
Gari ulinunua mwenyewe au ulipewa na bwana mwenye gari? Fafanua pls sio kuleta maneno ya kwenye kanga hapa.

Hivi gari kitu gani bana.... mbona mnatokwa povu???? Siku hizi magari mbona kawaida tu.... Au mnadhani wanawake wote wenye magari wamenunuliwa poor you!!!!!

Kwani imeandikwa wapi wanaume pekeyao ndio wanapaswa kumiliki magari????


Khaaaa.... mtuwache tupumuweee miaka 900 .... Sosi cacico
 
Last edited by a moderator:
Magari ndio mtama wa kunasa watoto wa kike hapa town. Hilo halina ubishi
 
Jamani sio wanawake wote,mi ni msichana nafanya kazi serikalini kama nakitaka kumiliki gari hata mwezi hauishi namiliki,tatizo ipo kwa wale mabinti wenye tamaa,mi kwa sasa nahangaikia ujenzi wa nyumba coz i knw gari nina uwezo wa kua nayo,sasa ajabu hao wakaka wenye magari wanaongea hapa lakini wanaishi nyumba za kupanga gari analaza kwa pesa ha ha ha hahahahaah inahuu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
.....because they walk with cash (from TZS 30,000 plus) in their pockets for any emergency....
 
Back
Top Bottom