Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,269
Jamani acheni kutudharau, hata huu mkweche nao tuko attracted? Unaopoongelea wanawake si wote, wapo wenye hobby hiyo wengine hawana.
Jamani acheni kutudharau, hata huu mkweche nao tuko attracted? Unaopoongelea wanawake si wote, wapo wenye hobby hiyo wengine hawana.
huo mkweche mbona ni kama anataka kuvutiwa humo ndani...( ni kama makazi zaidi ya gari)
hahahha haya maneno ya wanaume wa vijiweni,sasa kama nina biashara au kazi inayonilipa vizuri nishindwe kujinunulia gari, wewe ulishawahi kumnunulia gari mwanamke? vile usivyoweza na wenzio ndo hivyo hivyo, wanaume wachache sana wanahonga magari,kati 20m ni mmoja, mlio wengi ni chips tu ndo uwezo wenu,
Hivi gari kitu gani bana.... mbona mnatokwa povu???? Siku hizi magari mbona kawaida tu.... Au mnadhani wanawake wote wenye magari wamenunuliwa poor you!!!!!
Kwani imeandikwa wapi wanaume pekeyao ndio wanapaswa kumiliki magari????
Khaaaa.... mtuwache tupumuweee miaka 900 .... Sosi cacico